Envaya

Ubusobanuro: Kiswahili (sw): todo: todo:projects

Base (Kinyarwanda) Kiswahili
Sobanura imishinga yawe
CSM ni NGO ambayo ina mradi mkubwa wa uzalishaji na uboleshaji wa zao la Kahawa hususani aina ya Arabica, na Tuna malengo ya Kuanzisha Kituo kikubwa cha watoto yatima.CSM lina mkakati wa kutoa elimu kwa wajasilia mali, na Usindikaji wa mazao yatokanayo na Kilimo.CSM limeanzisha mradi wa ufugaji samaki katika kijiji cha Kishojo, Wilayani karagwe,kagera tanzania kwa kushirikana na Halmashauri ya wilaya ya karagwe. CSM tangu mwaka 2002 tulianza kutoa elimu, na Vitendea kazi kwa taaluma ya Ufundi kazi za mikono hapa Wilayani Karagwe, na tayari vijana wapatao 37 walisha hitimu na baadhi yao walipewa vitendea kazi, kwa kushirikina na wahisani mbalimbali toka NetherLands, na Uk.

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibitekerezo

A link for organizations to edit their Projects page.
11 Gicurasi, 2011 by youngj

Ibyasobanuwe

CSM-Tanzania
28 Ukwakira, 2011
CSM ni NGO ambayo ina mradi mkubwa wa uzalishaji na uboleshaji wa zao la Kahawa hususani aina ya Arabica, na Tuna malengo ya Kuanzisha Kituo kikubwa cha watoto yatima.CSM lina mkakati wa kutoa elimu kwa wajasilia mali, na Usindikaji wa mazao yatokanayo na Kilimo.CSM limeanzisha mradi wa ufugaji samaki katika kijiji cha Kishojo, Wilayani karagwe,kagera tanzania kwa kushirikana na Halmashauri ya wilaya ya karagwe. CSM tangu mwaka 2002 tulianza kutoa elimu, na Vitendea kazi kwa taaluma ya Ufundi...
Ubuyobozi
28 Mata, 2011
Andika kuhusu miradi yako