Envaya

Translations: Kiswahili (sw): User Content: WIKsbCRmWEUkC8jQ1Ae0pfoG:content

Base (Swahili) Kiswahili

1002271568.jpg
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani leo tarehe 30 Agosti, 2025 ameongoza kikao cha wawakilishi wa vyama vya siasa kupitia na kufanya mabadiliko madogo kwenye ratiba ya mikutano ya hadhara ya kampeni za wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais.


Mikutano hiyo iliyoanza tarehe 28 Agosti, 2025 inaendelea hadi tarehe 28 Oktoba, 2025 kwa Tanzania Bara na tarehe 27 Oktoba, 2025 kwa Tanzania Zanzibar.


Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano na Madiwani kwa Tanzania Bara utafanyika tarehe 29 Oktoba, 2025.


1002271552.jpg

1002271586.jpg

1002271560.jpg

1002271574.jpg

1002271563.jpg

1002271579.jpg

1002271594.jpg

(Not translated)

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register