Injira

Ubusobanuro: Kiswahili (sw): User Content: WI000E4B5BB14B8000066576:content

« Inyuma   ·   Ahakurikira »
Base (Icyongereza) Kiswahili
Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Ilemela ambayo yalimpa ushindi mbunge Highness Samson (CHADEMA) dhidi ya Anthony Diallo (CCM), itaanza kuunguruma Oktoba 17 mwaka huu (2011).

Hadi kufikia Desemba 10, mwaka jana (ikiwa ni miezi miwili baada ya uchaguzi), kesi 43 zilikuwa zimefunguliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda za Mbeya, Dar es Salaam, Sumbawanga, Dodoma, Moshi, Tabora, Mwanza, Bukoba, Iringa, Mtwara na Arusha.

Tukutane siku ya kesi wapendwa.
Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Ilemela ambayo yalimpa ushindi Mbunge Mtukufu Samson (CHADEMA) dhidi ya Anthony Diallo (CCM), itaanza kuunguruma Oktoba 17 Mwaka Huu (2011).

Hadi kufikia Desemba 10, Mwaka Jana (ikiwa Ni miezi miwili baada ya uchaguzi), kesi 43 zilikuwa zimefunguliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda za Mbeya, Dar es Salaam, Sumbawanga, Dodoma, Moshi, Tabora, Mwanza, Bukoba, Iringa, Mtwara NA Arusha.

Tukutane siku ya kesi wapendwa.

Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibyasobanuwe

Google Translate
24 Ugushyingo, 2011
(image) (image) Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Ilemela ambayo yalimpa ushindi Mbunge Mtukufu Samson (CHADEMA) dhidi ya Anthony Diallo (CCM), itaanza kuunguruma Oktoba 17 Mwaka...
Google Translate
12 Ukwakira, 2011
(image) (image) Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Ilemela ambayo yalimpa ushindi Mbunge Mtukufu Samson (CHADEMA) dhidi ya Anthony Diallo (CCM), itaanza kuunguruma Oktoba 17 Mwaka...
Ubu busobanuro bwakuwe mu nyandiko ya kera