Log in

Translations: Kiswahili (sw): User Content: WI0000E95C89059000066578:content

« Previous   ·   Next »
Base (English) Kiswahili

Dk2.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na mke wa Balozi Juma Mwapachu, Rose Mwapachu, wakati alipofika nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam jana oktoba 11, 2011, kumpa pole kufuatia kifo cha mtoto wake, Harith Mwapachu, kilichotokea jana
Dk3.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha (CHADEMA) Freeman Mbowe, wakati walipokutana katika msiba wa mtoto wa Balozi Juma Mwapachu, Harith Mwapachu, Mikocheni jijini Dar es Salaam jana Oktoba 11.
Dk4.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya waombolezaji, wakati akiondoka nyumbani kwa Balozi Juma Mwapachu, wakati alipofika kutoa pole kufuatia kifo cha mtoto wa Balozi Juma Mwapachu, Harith Mwapachu jana Oktoba 11.
Dk.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia saini katika Kitabu cha maombolezo cha Harith Mwapachu, ambaye ni mtoto wa Balozi Juma Mwapachu, aliyefariki dunia jana Oktoba 11, 2011.Kulia ni Balozi Juma Mwapachu.Picha na Muhidin Sufiani-Ofisi ya Makamu wa Rais

hakingowi?d=yIl2AUoC8zA
hFivlam7jok

Dk2.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana NA MKE wa Balozi Juma Mwapachu, Rose Mwapachu, wakati alipofika nyumbani Mipango Mikocheni jijini Dar es Salaam Jana Oktoba 11, 2011, kumpa pole kufuatia kifo cha mtoto wake, Harith Mwapachu, Jana kilichotokea
Dk3.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana NA Mwenyekiti wa Chama cha (CHADEMA), Freeman Mbowe, wakati walipokutana katika MSIBA wa mtoto wa Balozi Juma Mwapachu, Harith Mwapachu, Mikocheni jijini Dar es Salaam Jana Oktoba 11.
Dk4.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana NA baadhi ya waombolezaji, wakati akiondoka nyumbani kwa Balozi Juma Mwapachu, wakati alipofika kutoa pole kufuatia kifo cha mtoto wa Balozi Juma Mwapachu, Harith Mwapachu Jana Oktoba 11.
Dk.jpg
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitia Saini katika Kitabu cha maombolezo cha Harith Mwapachu, ambaye nai mtoto wa Balozi Juma Mwapachu, aliyefariki Dunia Jana Oktoba 11, 2011.Kulia nai Balozi Juma Mwapachu. Picha NA Muhidin Sufiani-Ofisi ya Makamu wa Rais

hakingowi?d=yIl2AUoC8zA
hFivlam7jok

In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
November 24, 2011
(image) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana NA MKE wa Balozi...
Google Translate
October 12, 2011
(image) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana NA MKE wa...
This translation refers to an older version of the source text.