Shirika lilianza rasmi mwaka 2004 na kupata usajili wake tarehe 16 mwezi september 2008 – Na kupewa namba ya usajili chini ya Wizara ya mambo ya ndani, chini ya kifungu namba 12[2] namba 24 ya mwaka 2002 namba 08NGO/00002461. Na kupewa jukumu la kufanya kazi Wilaya ya Lindi Vijijini. | (Bila tafsiri) | Hariri |