Envaya

/nyedaco/topic/61865/add_message: Kiswahili: dT00087F8E4FBB8000061865:subject

Asili (Kiswahili) Kiswahili
Juhudi kubwa zimefanyika kutokomeza ugonjwa wa malaria, lakini bado tunashuhudia maelfu ya binadamu wenzetu wakiteketea kwa ugonjwa huu. Je ni wapi sisi kama watanzania tunapokosea?
(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe