Base (Swahili) |
English |
NGOME imefungua tawi jingine la klabu ya wanafunzi kama zilivyo klabu zingine za NGOME katika shule za sekondari ya Mikindani na Mitengo. Klabu hiyo ya NGOME imefunguliwa katika shule ya sekondari NDUMBWE Mtwara vijijini. Klabu hizi ni kwaajili ya Elimu ya Afya ya Uzazi na Stadi za Maisha kwa wanafunzi wa sekondari, ambao hufundishwa na wataalam wa Afya kutoka NGOME na kufundishana wao kwa wao{UELIMISHAJI RIKA} baada ya kupata mafunzo kutoka kwa wataalam.
|
CASTLE has opened another branch of the club of students, like many other clubs in secondary schools CASTLE of Mikindani unit. Club CASTLE The school opened in Mtwara rural NDUMBWE. These clubs are in favor of the Reproductive Health Education and Life Skills for students of secondary schools, which are taught by health professionals from CASTLE and teach themselves {peer} after receiving training from experts.
|