Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
3. WANAHARAKATI WA WEMA WASHIRIKI MAONYESHO YA SERIKALI ZA MITAA Tarehe 01 Julai 2010 Wanaharakati wa Elimu, Mazingira na Afya-WEMA, walishiriki katika maonyesho ya Serikali za Mitaa yaliyofanyika kiwilaya katika mji mdogo wa Ndanda Masasi. Kikundi cha WEMA kilishiriki maonyesho hayo kwa kuonyesha baadhi ya shughuli wanazozifanya. Walionyesha baadhi ya vitabu vinavyopatikana katika maktaba yao, pia walionyesha baadhi ya miche ya miti waliyootesha katika kitalu chao, hali kadhalika, walionyesha vyungu vya kupandia maua ambavyo ni miongoni mwa kazi wazojifunza kikundi cha akina mama wa WEMA, kinachojulikana kama; "WEMA WOMEN EMPOWERMENT GENERATION" ama kwa kifupi "WEMA Women - EG." Katika picha wanaonekana watoto waliotembelea banda la WEMA wakati wa |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe