About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/jeanmedia/topic/19428/add_message
: English
Base
English
Katiba ya sasa inaeleza kwamba Tanzania ni nchi ya kijamaa wakati ukweli halisi hatuko tena kwenye ujamaa.Lakini pia imempa Raisi madaraka makubwa sana.Katiba mpya impunguzie madaraka,baadhi yahamishiwe kwa bunge.Mathalani,CAG na Mkurugenzi wa PCCB na PPRA waidhinishe na bunge baada ya uteuzi na wawajibike kwa bunge.
The current Constitution states that Tanzania is a country of social reality when we are no longer on ujamaa.Lakini also I have given the President new powers sana.Katiba impunguzie major power, some for bunge.Mathalani yahamishiwe, CAG and the Director of PCCB and PPRA waidhinishe parliament after selection and be accountable to parliament.
Edit
Ni kweli kwamba Ngao ya ni mashindno ya soka ynayondaliwa na shirika la mpira wa miguu (TFA) yanayoshindanisha timu zilizochukua nafsi ya kwanza na ya pili katikaa Ligi kuu yaa soka Tazania, kwa maadhumuni ya kusaidia watoto yatima, wajane na wegine wahitaji. Lakini tatizo ni kamba pamoja na TFA kutotilia mkazo suala la kusaidia makundi hayo husika, jamii ya watanzania nayo wakiwemo wadau hawajafuatilia kuhusu jambo hilo, kwa kuhoji na kudadisi sababu za kupuuziwa kwa azma hiyo ya awali....
It is true that the shield is mashindno ynayondaliwa soccer and football organization (TFA) yanayoshindanisha team that brought the soul of the first and second nail katikaa Premier League soccer Tazania, for maadhumuni helping orphans, needy widows and other actions took place. But the problem is the cord with TFA kutotilia emphasized the issue of supporting these groups involved, and the Tanzanian society, including stakeholders can track about it, for questioning and curiosity factors...
Edit
Una habari juu ya mashindano ya ngao ya Hisani yanayoendeshwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania kila mwezi wa sita?Je,ni haki yaitwe ngao wakati hakuna senti hata moja inayoingia katika kuchangia jamii kama watoto yatima,wajane na wengineo wanaohitaji...
You have information on Voluntary shield competitions run by a federation of Tanzania football's six monthly? Is it right yaitwe shield cents even when no one pours in to contribute to society as orphans, widows and others who need credit?
Edit