Log in

/jeanmedia/topic/24088: English: dM0008457F89538000025183:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

@Sango Kipozi (Dar es salaam): muingiliano wa tamaduni za kigeni ni moja ya sababu zinazo sababisha mmomonyoko wa maadili katika jamii tamaduni hizi zinatoa uhuru mkubwa hasa kwa watoto ambao wanaitaji kuelekezwa wangali wadogo na wazazi wao,kutokana na tamaduni hizo watoto wanaachwa wajiongoze wenyewe ambavyo hupotea na kutoka nje ya maadili ya jamii.mtoto anastaili aongozwe na kuelekezwa na wakubwa kwa sababu wamekwisha kuwa na uzoefu wa maisha na wameona mengi mazuri na mabaya kwa hiyo kumuelekeza mtoto ni kutaka apite katika mazuri yatakayo msaidia kuwa na maisha yenye mafanikio mema maishani mwake.

@ Sango physician (Dar es Salaam): the interplay of cultures in foreign currency is one of the factors that are causing the erosion of values ​​in society cultures These provide greater autonomy, especially for children who need to be directed are still young and their parents, due to traditions children are left wajiongoze own that is lost and out of the values ​​of jamii.mtoto he deserves guided and directed with great because they have already experienced life and have seen many good and bad for the kumuelekeza child is wanting to pass on the good that will help him have a life of success is good in his life .


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 16, 2011
@ Sango physician (Dar es Salaam): the interplay of cultures in foreign currency is one of the factors that are causing the erosion of values ​​in society cultures These provide greater autonomy, especially for children who need to be directed are still young and their parents, due to traditions children are left wajiongoze own that is lost and out of the values ​​of jamii.mtoto he deserves guided and directed with great because they have already experienced...