Habari wadau ,napenda kuwapongeza wale wote waliopata fursa ya kupewa ruzuku kwa ajili ya kuelimisha wananchi kujitokeza kupiga kura na kulinda amani kwa kipindi chote cha uchaguzi. – Ni matumaini yetu kuwa mtawajibika ipasavyo na jamii itathamini mchango wa asasi kwa elimu mtakayoitoa nasi tusiopata ruzuku tunaunga mkono juhudi zenu , cha msingi mzingatie kanuni na masharti | (Bila tafsiri) | Hariri |