1. Kuhamasisha jamii kuhifadhi mazingira – 2. Kuwezesha wakina mama kupunguza umasikini kupitia elimu ya ujasilia mali – 3. Kuhamasisha uwajibikaji na uongozi bora katika ngazi ya serikali ya mitaa – 4. Kujenga utetezi na ushawishi juu ya haki za wanawake na hasa mtoto wa kike – 5. Kufanya utafiti unaolenga kuboresha maisha wanawake – 6. Kushirikaina na wadau mbali mbali kuinua maisha ya wanawake | (Not translated) | Hindura |