1.Walimu wa michezo mbalimbali anahitajika kama ifuatavyo; – a: mwalimu wa mpira wa miguu – b.mwalimu wa mpira wa wavu – c.Mwalimu wa maigizo – Walimu wote hawa wawe na elimu ya michezo husika – 2. Mwalimu wa mazingira-awe na utaalam wa ubunifu katika kupamba mazingira. – 3.Mkufunzi wa scout kwa vijana- awe na elimu ya scout. | (Not translated) | Hindura |