Mtandao wa AZISE Nachingwea(MANa), unalenga kukuza uwezo wa Asasi Za Kiraia wilayani Nachingwea wa kuleta mabadiliko chanya kwa wanajamii waishio mjini na vijijini huku zikichunga vilivyo misingi ya haki za binadamu . – Shughuli kuu za MANa ni kukusanya taarifa na takwimu mbalimbali na kuzichambua,kuunganisha wadau na kuchochea mabadililo chanya. | Rankin Inlet NGO Network (SON), aims to develop the capacity of Civil Society Rankin Inlet District to bring positive change in urban communities and rural areas while zikichunga are based on human rights. – The main activities of the children is to collect various data to analyze, integrate stakeholders and stimulate positive mabadililo. | Edit |