Kuunganisha na kuratibu shughuri za asasi za kiraia wilayani maswa – kuwajengea uwezo viongozi wa Asasi za kiraia wilayani maswa – kufuatilia sera na kutoa elimu kwa jamii juu ya sera hizo pia kutoa elimu kwa jamii kuhusu utawala bora na utawala wa sheria – kuelimisha jamii kuhusu masuala ya mkukuta na kutetea haki za kijamii wilayani maswa | (Bila tafsiri) | Hariri |