Jumuiya ya Zanzibar Ant Poverty Organization imeelimisha vijana wa kijiji cha SOS mwaka 2009
Jumuiya ilisaidia vijana waliofaulu kidato cha tatu ambao ni yatima katika skuli ya kwamtipura mwaka 2010
Jumuiya ilielimisha vijana kuhusu athari za mimba za umri mdogo katika ukumbi wa elimu mbadala tarehe 18/12/2010 | (Bila tafsiri) | Hariri |