Malengo ya ZAPANET ni kama yafuatayo:- – Kutoa ushauri wa kisheria kwa jamii yote ya Zanzibar
Kutoa Elimu ya Kisheria kwa jamii
Kutoa mafunzo ya haki za kibinadamu
Kutetea upatikanaji wa haki kwa wazanzibari wote bila ya kuwepo ubaguzi wa aina yeyote kwa jamii
kushirikiana na Jumuiya nyengine ambazo zina malengo yanayofanana kitaifa, kikanda, na kimataifa
Kupinga Unyayasaji wa aina zote dhidi ya watoto, wanawake na makundi yenye... | (Bila tafsiri) | Hariri |