Log in

/ASGOHES/history: English: WI0000494004C47000022756:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

ASGOHES - Tanzania ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 2006 na hatimaye kusajiliwa rasmi November 2007 kwa namba 00NGO/0188.

ASGOHES - Tanzania ilianza mara baada ya kuona matatizo mbalimbali kwa wazee haswa umasikini na kwa kuzingatia mambo makuu muhimu yafuatayo ndiyo yaliyochochea kuanzishwa kwake ambayo ni;

i. Wazee ni moja ya makundi yaliyo hatari kusahaulika kabisa na jamii.

ii. Wazee ni kundi la watu masikini na wasio na sauti katika haki zao.

iii. Wazee ni kundi lililohatari katika kupata maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI hii ni kutokana na kuwa wao ndio wauguzi katika jamii.

iv. Vijana na jamii kwa ujumla haina elimu juu ya wazee na haitambui chanagamoto zinazowakabili wazee.

v. Vitendo vya ukatili hswa mauaji ya vikongwe na kutoweka kwa UPENDO na mmomonyoko wa maadili miongoni mwa jamii inayowazunguka wazee.

vi. Uharibifu wa mazingira na vitendo vya rushwa na ufisadi nchini.

ASGOHES - Tanzania formally founded in 2006 and finally officially registered number 00NGO/0188 November 2007.

ASGOHES - Tanzania started immediately after seeing numerous problems for the elderly, especially poverty and to consider the following important principles is that it yaliyochochea its inception;

i. Elders is one of the groups are completely forgotten and risk category.

ii. Elders are a group of poor people with no voice in their own right.

iii. Elders are a group lililohatari in getting new infections of HIV / AIDS this is because they are nurses in the community.

iv. Youth and society in general does not have knowledge about the elderly and does not recognize chanagamoto facing the elderly.

v. Hswa acts of brutality and murder of elderly disappearing LOVE the erosion of values ​​among the communities around them elderly.

vi. Environmental degradation and acts of corruption and graft in the country.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
May 28, 2011
ASGOHES - Tanzania formally founded in 2006 and finally officially registered number 00NGO/0188 November 2007. – ASGOHES - Tanzania started immediately after seeing numerous problems for the elderly, especially poverty and to consider the following important principles is that it yaliyochochea its inception; – i. Elders is one of the groups are completely forgotten and risk category. – ii. Elders are a group of poor people with no voice in...