Envaya
/CEDO/topic/27473/add_message
: English
Base
English
Uwazi ni njia mojawapo inayoleta mafanikio mema katika shughuli za kimaendeleo. Lakini baadhi ya Halmashari haziko wazi kutoa taarifa mabalimbali za kimaendeleo kwa raia wake. hilli inachelewesha maendeleo katika jamii. raia wengi hawajui mapato na matumizi ya fedha za umma. Tufanyeje ili kupata taarifa za shughuli za kimaendeleo ikiwa ni pamaoja na kushirikishwa katika utengenezaji wa bajeti?
Transparency is one way that brings good progress in development activities. But some are not so clear Halmashari reporting forms of development to its citizens. hilli delays in social development. Many citizens do not know the income and expenditure of public funds. What shall we do to get information on development activities including participation in the manufacture pamaoja and budget?
Edit
Napenda kukushukuru kwa mada yako nzuri mr Jophet A Kalegeya – kutokana na mada yako nzuri ambayo mimi inanihusu moja kwa moja kutokana shughuri zangu ninazofanya – MAJUKUMU YA SERIKALI ZA MITAA. – Halmashauri za Manispaa zimeanzishwa chini ya sheria za Mamlaka za Miji (Local Government Urban Authorities Act. 1982)....
I wish the best for your topic kukushukuru mr Jophet A Kalegeya – from your good topic that I inanihusu directly from me I do shughuri – RESPONSIBILITIES OF LOCAL GOVERNMENT. – Municipal Councils were established under the authority of the town (Local Government Urban Authorities Act. 1982). ...
Edit
@FIKIRI MVUGARO(MWELA THEATRE GROUP) (MTONI MTONGANI TEMEKE DSM): – Asante Sana Mr.Fikiri Mvungaro kwa mchango wako nzuri wa kutuelimisha kuu ya majukumu ya Halmashauri na uanzishwaji wake.
(Not translated)
Edit
UWAZI NA UWAJIBIKAJI
TRANSPARENCY AND ACCOUNTABILITY
Edit