USHAWISHI NA UTETEZI KATIKA – KUPUNGUZA UMASIKINI KWA VIZIWI Mkoa wa Dodoma kwa wilaya ya Dodoma mjini.Utekelezaji Mradi huo.Aidha wadau wanaonekana kuchangia changamoto mbalimbali za haki za ushirikishaji Viziwi wa wilaya Sekta ya Elimu ya Awali,Msingi na Sekondari na kuwawezesha Viziwi kupata Ajira,Mikopo ya Vikundi vya Ujasirimali wa miradi ya Biashara n.k, Matokeo ya Midahalo hii yamezaa Matunda kama vile wadau wa jamii kuwatambua na kuwathamini... | (Bila tafsiri) | Hariri |