Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/amua/post/21055
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
AMUA katika kipindi cha Oktoba- Disemba itaandaa kongamano la kuzungumzia visababishi na madhara ya mimba na ndoa za utotoni kwenye kata za Nanjota, Lipumburu na Lupaso wilayani Masasi. Lengo likiwa ni kuibua mawazo na changamoto kutoka kwa jamii. Washiriki watatoka kwenye maeneo husika.
(Bila tafsiri)
Hariri