KEYNOTE FROM HON.DR.JAKAYA MRISHO KIKWETE-PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA – Kwako Bwana James Lushi, – Napenda kukushukuru kwa barua yako ya wazi kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. – Na pia nachukuwa nafasi hii kukujulisha kuwa Rais anakushukuru kwa ushauri wako mzuri uliotoa katika barua yako. umechambua mambo mbalimbali kama vile umasikini na vyanzo vyake na athari zake. – Vilevile umeongelea suala la vijana na matatizo yao hasa katika... | (Not translated) | Hindura |