Kushiriki katika kampeni mbalimbali ikiwemo: – 1) Kupambana na maambukizi mapya ya HIV/AIDS. – 2) Kuhamasisha utunzaji wa mazingira. – 3) Kutoa elimu ya utungaji na utumiaji fasaha wa Lugha ya kiswahili. – 4) Kufanya mashindano ya utungaji na usomaji wa mashairi na ngonjera pia michezo ya kuigiza. – 5) kampeni za kiafya kama kifua kikuu, kipindupindu na malaria. | Participate in various campaigns including: – 1) Fight new infections of HIV / AIDS. – 2) Supporting environmental protection. – 3) Provide education on the composition and use clear language of Swahili. – 4) To contest the composition and reading of poetry and the poem recited in alteration also plays. – 5) health campaigns such as tuberculosis, cholera and malaria. | Edit |