Envaya
/chawamu/news
: Kinyarwanda
Base
Kinyarwanda
chama cha wastaafu na wazee ni asasi...
(Not translated)
Hindura
Chama cha Wastaafu na Wazee Mkoa wa Mtwara ni Asasi ambayo inashughulika katika Mkoa wa Mtwara ambayo imeazishwa mwaka 1987 na kuandikishwa mwezi Machi, 1998. Wanachama hukutana mara kwa mara kujadili maendeleo ya chama na hasa kuondokana na umaskini kwa wazee.Tatizo la chama kwa hivi sasa ni kupata njia ya kuongeza uchumi.
(Not translated)
Hindura