Envaya

/bakwatagr/post/12: Kiswahili: WI7bAjypLvtojAeulyZ3k7nc:content

Asili (Kiswahili) Kiswahili

MAADHIMISHO YA MAULID YA MTUME S.A.W 1349/2017 MKOA WA MOROGORO

Baraza kuu la Waislam Tanzania BAKWATA Wilaya ya Gairo tunawakaribisha katika maadhimisho ya mazazi ya Mtume Muhamad S.A.W yatakayo fanyika kimkoa katika Wilaya ya Gairo Kata ya Chakwale. Akiongea na waumini wa msikiti mkuu wa wilaya Katibu Wa BAKWATA wilaya Gairo Sadi M.Msita alisema, Maulidi kimkoa yatafanyika tarehe 15/12/2017 katika kata ya chakwale. Aidha tunachukua fursa hii kuwakaribisha waislam wote kujumuika nasa katika kusherekea mazazi ya Mtume Muhamad S.A.W. kwani kuja kwake mtume ni Rahma kwa viumbe wote. Wakati Sheikh wa Wilaya ya Gairo ambae pia ni kaimu Sheikh wa Mkoa wa Morogoro ameelekea mkoani Lindi akiwa na jopo lake la Viongozi wa Mkoa kudhulia maadhimisho hayo yatakayo fanyika katika Wilaya ya RuangwaKaimu Sheikh wa Mkoa wa Morogoro (aliye vaa kanzu) na viongozi wengine wa Mkoa wa Morogoro wakiwa njiani kuelekea Ruangwa kwenye Maulid ya Kitaifa.

 

(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe