Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
-Kuhamasisha maendeleo ya vijana na wananchi juu ya mabadiliko ya kitabia-katika Elimu rika -Kuhamasisha jamii kupambana na magonjwa ya kuambukizwa na kushauri jamii kisaikolojia(moral counselling). -Kuhimiza elimu ya ujasiliamali kwa vijana pamoja na wanawake. -Kuhimiza miradi ya kuanzisha kipato -Kuhimiza maswala ya kiroho katika jamii -Kuanzisha vituo vya watoto wadogo -nursery na awali. |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe