Kimsingi, sasa hivi hali ya migomo na maandamano katika nchi hii ni ya kila kukicha ukilinganisha na wakati wa nyuma. Hii ni kwa sababu ya kudolola kwa huduma za jamii kwa jamii na kukiukwa kwa haki za binadamu. | Basically, the current state of strikes and protests in this country is all kukicha when compared with the past. This is to drool for social services to the community and violation of human rights. | Edit |