Mr. Beedict Bageni Mwasokwa. (image) – Huyu ndiye mwenyekiti mtendaji wa shirika na mwanachama mwasisi kabisa wa shirika hili. Anashahada ya ualimu katika sayansi ya siasa na lugha ya kingereza kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam. Pia ni mtaalam wa masuala ya project planning and management alioupata kutoka chuo kikuu cha dar es salaam. amewekeza nguvu na muda wake mwingi katika shughuli za shirika kwani anafanyakazi za kujitolea mara zote kwa... | (Not translated) | Hindura |