Asili (Kiingereza) | Kiswahili | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
TANZANIA LIVELIHOOD SKILLS DEVELOPMENT AND ADVOCACY FOUNDATION (TALISDA-FOUNDATION)
Taasisi ya maendeleo ya Stadi za maisha na Utetezi imesajiliwa tangu mwaka 2007 na nambari yake ya Usajilli ni NGO 1090 .
Taasisi hii inatambuliwa kwenye Ofisi za wilaya hapa Korogwe kwa nambari ambapo inafanya shughuli zake kwa mujibu wa Katiba katika ngazi zote hadi vijijini katika kata mbalimbali na kule kwenye kata matawi ya Taasisi yanaitwa TALISDA-KATA. Kwa mfano TALISDA-Kata ya Ngombezi nk.
Makao makuu ya TALISDA-FOUNDATION yapo Wilayani Korogwe katika kata ya Manundu mtaa wa Majengo.Hata hivyo shughuli za Taasisi hii ni kwa Tanzania Bara yote na kwamba hadi kufikia tarehe 30 March 2011 matawi mbalimbali yamekwisha anzishwa katika mikoa mitatu ya Tanzania Bara kama anuani zinavyoonyesha hapo chini.
MAONO NA DIRA KUU NI MAISHA BORA KWA KILA YATIMA NA KWA KILA ANAYEISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU
DHAMIRA YA TALISDA FOUNDATION NI – Katika kufikia maono na dira na malengo ya hapo juu mkakati wetu ni ule wa KUWAJASIRISHA YATIMA NA WOTE WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU ILI WAWEZE KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA MAISHA (Empowering Orphans and Other Vulnerable Persons to cope with challenges in future).Ujasirishaji wetu unajikita katika mambo ya kiuchumi,kijamii na kisera kwa mpangilio wa hapo chini:
(a) Kuwafundisha walengwa elimu na mafunzo ya Ufundi ili waweze kujiajiri au kuajiriwa kwa urahisi mara wamalizapo mafunzo yao ya muda mfupi yenye tija :Mafunnzo hayo ni pamoja na yafuatayo:
-Kilimo cha Uyoga -Cherehani -Udereva -Utengenezaji nguo za batiki na tie and die -Usindikaji wa Vyakula mfano matengenezo ya Koni ,chachandu nk ) -Mafunzo ya Computer na Tekinolojia ya Habari na Mawasiliano -Kilimo cha bustani na mbogamboga -Kilimo cha Samaki kwenye mabwawa madogomadogo. -Elimu ya Muziki wa Key board -Upigaji picha za dijito na za Video -Radio repair -Utengenezaji wa tofari za kuchoma kwa urahisi na interlocking blocks -Mafunzo ya Uhazili (Full Secretarial Course) -Mafunzo ya Lugha za Kigeni ikiwemo lugha za alama kwa viziwi na wasioona -Elimu ya malezi ya watoto shule ya Awali (Early Childhood Education) -Elimu maalumu kwa walemavu (Special Education for Disabled Children) -Mafunzo ya kuzuia majanga na namna ya Kuzima janga la moto -Tuition kwa wanafunzi na watahiniwa wa mitihani ya shule ya Msingi na Sekondari
(b) Kutoa Ushauri katika masuala ya -Ujasiliamali na Elimu ya masoko -Uandikaji wa randama za miradi -Elimu na ushauri wa kuzuia kuenea zaidi kwa maambukizi ya virusi vya UKIMWI
(c) Kufanya Ushawishi na Utetezi kufikia utekelezaji bora wa sera zilizoridhiwa na Serikali, kuhusu: -Haki za yatima na watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa njia ya kushawishi jamii kuunda mifuko ya kata na Kamati za kata za kushughulikia maslahi ya wenye uhitaji mkubwa. -Sera ya Ulinzi na haki za watoto -Sera ya haki za walemavu -Ushawishi na Utetezi kwa kinga ya majanga -Uongozi bora -Matumizi ya rasilimali ya Umma kwa faida ya Umma.
Ili kupata maelezo zaidi unashauriwa kufika Ofisi ya Makao makuu ya TALISDA FOUNDATION na utaweza kupata majarida yanayohusu mambo yafuatayo.
OMBI MAALUMU KWAKO WEWE MDAU WA MAENDELEO
TALISDA FOUNDATION inapenda kukushirikisha ili tuungane katika kusaidiana na Serikali na wadau wengine katika kuwasaidia Yatima na watoto wanaoishi katika mazingira magumu ili maisha yao yaboreshwe.
Wewe Mdau unaweza kushiriki kwa kuchangia kwa njia mbalimbali kadiri utakavyoona inafaa na hivyo tafadhali jaza Fomu hii hapo chini ukionyesha namna unavyoweza kuchangia na kisha kabidhi mchango wako kwa :
MKURUGENZI MTENDAJI TALISDA FOUNDATION S.L.P.15, KOROGWE Mobile phone:+255 713 951919, 0789 179275 Email:talisda_foundation@yahoo.com
TANZANIA LIVELIHOOD SKILLS DEVELOPMENT AND ADVOCACY FOUNDATION (TALISDA-FOUNDATION)
FOMU MAALUMU KUCHANGIA MAENDELEO YA SHUGHULI ZA TALISDA FOUNDATION
|
TANZANIA maisha maendeleo ya ujuzi na Mfuko UTETEZI (TALISDA-FOUNDATION)
Taasisi ya maendeleo ya Stadi za Maisha ya Rangi Utetezi imesajiliwa tangu Mwaka 2007 ya Rangi Mimea yake ya Usajilli nai NGO 1090. Taasisi Hii inatambuliwa kwenye Ofisi za Wilaya hapa Korogwe for Mimea ambapo inafanya shughuli zake for mujibu wa Katiba katika ngazi zote Hadi vijijini katika kataṃ mbalimbali ya Rangi kule kwenye matawi ya Taasisi kataṃ yanaitwa TALISDA-Kata. Kwa mfano TALISDA-Kata ya Ngombezi nk. Makao makuu ya TALISDA-FOUNDATION Wilayani Korogwe yapo katika Kata ya Manundu mtaa Wa Majengo.Hata hivyo shughuli za Taasisi Hii nai for Tanzania Bara yote ya Rangi kwamba Hadi kufikia Tarehe 30 Machi 2011 matawi mbalimbali yamekwisha anzishwa katika mikoa mitatu ya Tanzania Bara Kama anuani zinavyoonyesha hapo Chini.
Maono NA DIRA kuu NI Maisha BORA KWA YATIMA NA KWA Kila Kila ANAYEISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU DHAMIRA YA TALISDA FOUNDATION NI - Katika kufikia Maono ya Rangi DIRA Rangi malengo ya hapo Simu ya mkakati wetu nai ule Wa KUWAJASIRISHA YATIMA NA WOTE WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU ILI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO WAWEZE ZA Maisha (Kuwawezesha yatima na watu wengine katika mazingira magumu ya kukabiliana na changamoto katika siku zijazo). Ujasirishaji wetu unajikita katika Mambo ya kiuchumi, kijamii Rangi kisera for mpangilio Wa hapo Chini: (A) Kuwafundisha walengwa Elimu ya Ufundi ya Rangi mafunzo ili waweze kujiajiri AU kuajiriwa for urahisi Mara wamalizapo mafunzo ya muda mfupi Yao yenye tija: Mafunnzo hayo nai PAMOJA Rangi yafuatayo:
- Kilimo cha Uyoga -Cherehani -Udereva -Utengenezaji nguo za batiki Rangi tie na kufa Wa-Usindikaji Vyakula mfano matengenezo ya Koni, chachandu nk) -Mafunzo ya Kompyuta ya Rangi Tekinolojia ya Habari ya Rangi Mawasiliano -Kilimo cha mbogamboga mabustani ya Rangi -Kilimo cha Samaki kwenye mabwawa madogomadogo. -Elimu ya muziki Wa Key bodi -Upigaji... |
Historia ya tafsiri
|