Envaya

/takuuki/topic/27195/add_message: English: dM000110BDB401B000027196:content

Base (Swahili) English

Napenda kueleza machahche kuhusiana na Hali ilivyo kuhusu HIV/AIDS kwenye shule za Sekondari na Vyuo mbalimbali vya Ualimu hapa nchini Tanzania.

Nazungumzia jambo hili kwa sababu msisitizo kwa Vijana hawa upo kwenye Elimu ya Compyuta na Masomo ya Sayansi, lakini HIV/AIDS haihusishwi. Kutohusishwa inaonekana hawajengewi moyo wa Maisha ya Baadae,jambo ambalo mara wanapofuzu Taaluma yao wanaonekana tayari wana VVU lakini pia hawapendi kupangiwa kazi maeneo ya Mbali na mjini kwani wengine wanajihisi vibaya na hali wakiyonayo. Hii ipo sambamba na magonjwa ya zinaa kwani KITU MAPENZI kinawasumbua sana vijana hawa.

Ninachoshauri Mashirika mbalimbali, Walimu wa Ushauri nasaha na Wataalamu wengine wa Afya fanyeni juhudi za Makusudi ili Rika hili wawe na Subira ya Mapenzi kwani kila jambo lipo mbele yao.

Let me explain machahche situation is related to the HIV / AIDS in secondary schools and various teacher training colleges in Tanzania.

 I'm talking the matter because the emphasis for these youngsters is on education and computer science studies, but HIV / AIDS is not associated. Kutohusishwa seems not jengewi heart of the Future, which often have their Academic pofuzu seem already have HIV but do not want assigned the task areas in addition to others because they feel bad and they have. This is consistent with sexually transmitted diseases because NOTHING WILL very kinawasumbua lads. 

Ninachoshauri various organizations, teachers of counseling and other Health Professionals efforts aim to make this Rika will have the patience for what lies ahead for each of them.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
June 30, 2011
Let me explain machahche situation is related to the HIV / AIDS in secondary schools and various teacher training colleges in Tanzania. – I'm talking the matter because the emphasis for these youngsters is on education and computer science studies, but HIV / AIDS is not associated. Kutohusishwa seems not jengewi heart of the Future, which often have their Academic pofuzu seem already have HIV but do not want assigned the task areas in addition to...