Kuyaleta pamoja makundi ya wamama wajane na watoto waishio katika mazingira magumu na hatariishi
Kushughurikia matatizo yanayowakuta wamama wajane na wasiojiweza katika maisha ya sasa na waishio na virusi vya ukimwi na ukimwi
Kusimamia na kuratibu shughuri zote ziwakutazo watoto waishio katika mazingira hatarishi na kuwasaidia wajitambue katika yale yawahusuyo | (Bila tafsiri) | Hariri |