Pemba Basketball Club yapokea mipira 40 kutoka Ubalozi wa Marekani Tanzania. – (image) Mwakilishi wa Ubalozi wa Marekani, J. Michael Tritchler, akimkabidhi mipira mgeni rasmi kutoka Afisi ya Mkuu wa Wilaya Mkoani - Pemba, Afan Othman Juma. Kulia ni Raisi wa Pemba Basketball Club, Hussein Matora Hussein. – Mwakilishi wa Ubalozi wa Marekani, J. Michael Tritchler, amekabidhi jumla ya mipira 40... | (Not translated) | Hindura |