Base (Swahili) |
English |

Mimi naitwa Zephania Kyungai mwenyekiti wa kikundi cha sanaa WALIPO kilichoko Tengeru. Naishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWA kwa muda wa miaka kumi. Baada ya kufuata ushauri wa daktari niliweza kuondoa usongo wa mawazo na sasa hivi naishi bila matatizo yoyote. Nafanya kazi zangu zote nahudumia familia yangu bila matatizo.
|

I called Zephania Kyungai chairman of a group of art THEY Tengeru Canada. I live and UKIMWA virus infection for a period of ten years. After following the advice of a doctor I can eliminate stress and live right now without any problems. I do all my work nahudumia my family without problems.
|