Kuhusu
Peleleza
Tafuta
Jitolee
Mabadiliko
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Fungua
/wamatasengerema/history
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
WAMATA ni shirika lisilo la kiserikali lenye makao makuu yae Daer saalam na lina matawi mengi. Tawi la WAMATA Sengerema ni mojawapo ya matawi 19 ya WAMATA yanayofanya kazi. Lilifunguliwa rasmi mwaka 1994, likijumlisha wanachama mbalimbali kutoka idara za afya, elimu, wakulima na wafanya biashara pamoja na walio na virusi vya ukimwi na UKIMWI. – Tulianza kuwahudumia watoto yatima12 kwa kuwapatia mahitaji ya msingi,fedha ilitokana na michango kutoka kwa viongozi wenyeye na...
(Bila tafsiri)
Hariri