Base (Swahili) | English |
---|---|
Dira ya kitaifa iliwekwa na umoja wa mataifa mwaka 1982 kwamba wazee washirikishwe katika mipango ya maendeleo. Mwaka 1999 serikali ya Tanzania iliamua kuwa na sera ya Taifa ya wazee. Mwaka 2002, mpango huu wa kimataifa ulifanyiwa mapitio kubaini matatizo na mahitaji ya wazee karne ya 21. Saidia Wazee Tanzania, shirika la kitaifa, ilianzishwa tarehe 21 machi,1994. Saidia wazee Tanzania – Mara (SAWATA MARA) ni tawi la Saidia Wazee Tanzania, (kitaifa). Lililoandikishwa na Wizara ya Mambo ya Ndani kumbukumbu na. SO 8039. Shughuli za asasi SAWATA MARA ilianza shughuli zake rasmi Mkoani Mara tarehe 15 Julai 2000 baada ya kuundwa mwaka 1998. Tarahe 28/03/2001, asasi hii ilizinduliwa rasmi na Mheshimiwa mama Maria Nyerere hapa mjini Musoma. Matawi na wanachama. SAWATA MARA ilianzishwa na wanachama 22 wanaume 12 na wanawake 10. kwa sasa kuna matawi madogo 34. katika Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Vijijini, kuna matawi 26 Halmashauri ya Manispaa ya Musoma Mjini, matawi 3. Halmashauri ya Wilaya ya Bunda matawi 3 na Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti ni Matawi 2. Yote yana jumla ya wanachama 680.wanaume 310 na wanawake 370. Miradi Katika uhai wa asasi hii tumefanikiwa kuendesha miradi mitatu yenye ufadhili
Mashindano ya shule Katika mwaka 2007/2008 SAWATA MARA ilianzisha mradi wa kushindanisha shule za Msingi kuchora picha zinazoonyesha maisha ya wazee.Vilevile Shuel za Sekondari zilishindanishwa kuandika insha juu ya maisha ya wazee. Mashindano ya kubuni na kuandika miradi inayoweza kutoa elimu ya sera ya Taifa ya wazee. Katika Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Vijijini Kuhamasisha jamii na viongozi kushirikiana na vyombo vya habari na mitandao. Utetezi na ushawishi Kutetea na kushawishi Bunge lipitishe sheria kuhusu wazee kukomesha vitendo vya kikatili kwa wazee, mauaji ya wazee kwa imani za kishirikina. Kukusanya takwimu za kuaminika kuhusu wazee. Kuhamasisha wazee kudai haki zao za msingi ilikufikio mwaka 2012 wawe na uwakilishi katika vikao vyote katika ngazi zote za maamuzi, katika ngazi za Mitaa/Vijijini, Kata, Wilaya na hata Taifa. Mtandao salama: SAWATA MARA imewahi kutoa misaada mbalimbali kwa wazee wasiojiweza. Nguo na viandarua. Mwaka 2004 SAWATA MARA ilitoa nguo kwa wazee 20 wasiojiweza. Mwaka 2005 SAWATA MARA ilitoa msaada wa chakula, mafuta ya taa na vibatari kwa wazee 25 wa Suguti wasiojiweza katika sherehe kwa mwaka huo, iliyofanyika Chitare, Kata ya Makoja, wazee 10 wasiojiweza walipatiwa nguo. Mwaka 2009, wazee 40 wasiojiweza wa Manispaa ya Musoma walipatiwa shuka 40 zilizotolewa na Mheshimawa Vedastus Mathayo (Mbunge) na viandarua 40 vilivyotolewa na “Red Cross Society” ya Manispaa ya Musoma.
Katika sherehe ya siku ya wazee Duniani ya mwaka 2010 Wilayani Serengeti, (Kimkoa) SAWATA MARA kwa kushirikiana na Mganga Mkuu wa hospitali ya Mkoa wa Mara wazee 102 walipata huduma ya macho. Yaani wanume 54 na wanawake 48. Wazee waliopewa miwani ni 28. Wazee 71 walipewa dawa za kutumia Nyumbani. Mradi wa tatu Mradi wa Elimu ya sera ya wazee Katika mwaka 2011, kuanzia tarehe 1 Agosti 2011 hadi tarehe 31 Octoba 2011. SAWATA MARA ilitekeleza mradi wa Elimu ya sera ya wazee. Mradi huu ulifaahiliwa na The Foundation for civil seciety – Tanzania wenye thamani ya Tshs 7,395,000/-. ulitekelezwa Mkoani Mara, Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Vijijini, Kata za Bukima, Nyambono, Kyanyari na Bwiregi. Elimu iliyotolewa ni:-
Lengo lilikuwa ni kufikia wazee 80 katika mafunzo hayo. Wazee 83 walifikiwa katika Kata zote sawa na asilimia 103.75.
Shughuli mojawapo katika mradi huu, ilikuwa kuunda mabaraza ya wazee ili waweze kupata uwakilishi katika vikao vya maamuzi. Mabaraza yaliundwa kuanzia ngazi ya Kitongoji Kijiji, na Kata. Mabaraza yaliyoundwa yalifanyika 15 kati ya 16 sawa na asilimia 93.75, kwa Kata zote.
Elimu ilitolewa kwa Viongozi wa mabaraza na Viongozi wa Kata, ni watu 33 sawa na asilimia 91.7 (wanaume 25 na wanawake 8) kati ya walengwa wote 36. Walengwa wote
|
National Vision was set by the United Nations in 1982 that the elderly are engaged in development planning. In 1999 the government of Tanzania decided to have a national policy of the elderly. In 2002, this international program was reviewed to identify problems and needs of elderly 21st century. Help Elderly in Tanzania, a national organization, founded on 21 March, 1994. Help elderly Tanzania - Mara (SAWATA MARA) is a branch of Help Older Tanzania, (national). Lililoandikishwa and Ministry of Home Affairs and memory. SO 8039. Activities of organization SAWATA MARA officially started its activities in Mara Region on July 15, 2000 after the formation in 1998. Tarahe 28/03/2001, this organization was officially launched by Sir mother Maria Nyerere here in Musoma. Branches and members. SAWATA MARA was established with 22 members and 12 men 10 women. there are currently 34 small branches. Councils in Musoma Rural District, there are 26 branches of the Municipal Council of Musoma Urban, 3 branches. Bunda District Council 3 branches and Serengeti District Council are two branches. All members have a total of 310 women 680.wanaume 370. Projects In the life of this organization we have successfully run three projects with funding
School competitions In the year 2007/2008 introduced SAWATA MARA project kushindanisha Primary school drawing pictures of life wazee.Vilevile secondary Shuel zilishindanishwa write an essay on the life of the elderly. Competition to design and write programs that can provide national education policy of the elderly. In Musoma District Council Rural Encourage community leaders to cooperate with the media and networks. Advocacy and lobbying Advocating and lobbying Parliament lipitishe laws on elderly to end the brutal actions of the elders, killing the elderly with superstitious beliefs. Collecting reliable data on the elderly. Supporting older people to claim their basic rights ilikufikio 2012 have representation at all meetings at all levels of decision making, at local level / Village, County, District and National. Secure Network: SAWATA MARA has been providing various assistance to the elderly. Clothing and mosquito nets. In 2004 SAWATA MARA 20 provided clothes for the elderly disabled. In 2005 SAWATA MARA provided food aid, kerosene and battery for the 25 elderly disabled Suguti in ceremony for the year, held Chitare, County really present, 10 elderly disabled were given clothes. In 2009, 40 elderly disabled Municipal Musoma 40 sheets issued by Mheshimawa Vedastus Matthew (MP) and 40 nets offered by the "Red Cross Society" Musoma Municipality.
In celebration of World Day of the elders of Serengeti District in 2010 (by Region) SAWATA MARA in conjunction with the Hospital Medical Officer of Mara Region 102 elders received eye care. Namely wanume 54 and women 48. The elders were given sunglasses is 28. 71 Elders were given drugs to use Home. Project three Education Project of the old policy In 2011, starting on 1 August 2011 until 31 October 2011. SAWATA MARA Education implemented the project of the old policy. This project was faahiliwa and The Foundation for Civil seciety - Tanzania worth Tshs 7,395,000 / -. was implemented in Mara Region, Board of Musoma Rural District, County of Bukima, Nyambono, Kyanyari and Bwiregi. Education released are: -
The goal was to reach the 80 elders in training. Older people in Ward 83 had reached all the same and 103.75 percent.
One activity in this project was to create councils of elders... |
Translation History
|