Envaya

/TEYODEN/post/6512: English: WI000E5D3DFD849000006512:content

Base (Swahili) English

TEYODEN wafanya mkutano na wadau wa maendeleo ya vijana manispaa ya Temeke

Katika kujiandaa na  utekelezaji wa mradi wa kuongeza ari ya uwajibikaji wa vijana katika ushiriki na ushirikishwaji katika shughuli za kijamii na kimaendeleo ,leo TEYODEN imeanza utekelezaji huo kwa kufanya kikao na wadau wa maendeleo ya vijana katika manispaa ya Temeke,ambapo jumla ya washiriki 26 waliotakiwa kuhudhuria kikao hicho wote walihudhuria.Kulikuwa na maafisa wanne kutoka manispaa ya Temeke,maafisa watendaji 12 kutoka kata 12 za mradi huu na maafisa maendeleo ya jamii ngazi ya kata walioalikwa miongoni mwa kata  hizo za mradi,walikuwa 4.

Mradi huu utatekelezwa katika kipindi cha miezi 12 na jumla ya shughuli 10 zitatekelezwa,ambazo ni pamoja na kikao hiki ambacho tayari kimefanyika  leo,mafunzo kwa vijana 40 kutoka katika kata 12 juu ya stadi za maisha na sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 2007,ufuatiliaji na ukusanyaji takwimu za matokeo ya mradi,kutengeneza majukwaa 12 ya vijana,kuendesha midahalo 4 ya vijana ambayo itaibua changamoto zinazowakabili,kufanya ufatiliaji wa  shughuli hizona ukusanyaji wa matokeo ya mradi,uanzishwaji wa kizio cha kumbukumbu(database),utengenezaji na usambazaji wa vipeperushi elimishi,uendeshaji wa matamasha 4 ya wazi(road show) juu ya ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika masuala ya kijamii na kimaendeleo na ufanyaji wa tathmini ambayo itafanywa na mtathmini wa nje (external evaluator).

TEYODEN make a meeting with stakeholders in the development of municipal youth Temeke

In preparing and   implementation of the project to add a sense of responsibility of youth in participation and involvement in social activities and development, today TEYODEN begun implementation by conducting session with stakeholders in the development of youth in the municipality of Temeke, where the total participants 26 were required to attend that meeting all hudhuria.Kulikuwa and four were officers from the municipalities of Temeke, 12 executive officers from 12 county project officers and community development were invited to the county level among the wards   the project, were 4.

This project will be implemented over the past 12 months and a total of 10 activities being upheld, non including this session, which already has been done   Today, training for 40 youth from 12 wards on life skills and youth development policy in 2007, monitoring and data collection results of the project, forming platforms 12 youths, four of debating which itaibua challenges facing youth, make monitoring and   activities hizona collection of results of the project, the establishment of the unit of memory (database), the manufacture and distribution of pamphlets elimishi, operating concerts 4 open (road show) about the involvement and participation of youth in social issues and the development and execution of assessment which would be made by an evaluation of outside (external Evaluator).


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
December 30, 2010
TEYODEN make a meeting with stakeholders in the development of municipal youth Temeke – In preparing and implementation of the project to add a sense of responsibility of youth in participation and involvement in social activities and development, today TEYODEN begun implementation by conducting session with stakeholders in the development of youth in the municipality of Temeke, where the total participants 26 were required...