sijwahi kusikia kuwa kuna mtandao hapo awali lakini sasa nasikia na nilishawahi kuona kwenye TV ya mlimani habari za mtanao,lakini mbona hafikii vijana wengi wa Temeke.Tafadhali tunaomba mpanue shughuli zenu ili mfikie sehemu kubwa ya vijana wa Temeke ambao ndio walengwa wakubwa wa shuguuli zenu. | I jwahi hear that there is a network before but now I hear and I have ever seen on TV of a mountain about you with them, but why does not meet many young Temeke.Tafadhali we ask mpanue activities you to reach a large part of young Temeke which is targeted big shuguuli you. | Edit |