Envaya

/TEYODEN/post/102013: English: WI00055B43825E9000102013:content

Base (Swahili) English

MDAHALO WA VIJANA WARUDI KWA KASI MPYA NA MAARIFA ZAIDI.

Timu iliyoundwa kufanya uzinduzi wa mdahalo wa vijana uliobadilisha vikao vyake kutoka kila jumamosi na kuwa mara moja kwa mwezi ilifanya vizuri kwa kufikia 60% ya malengo yaliyowekwa katika kikao cha kamati ya utendaji cha TEYODEN cha hivi karibuni.Mdahalo huu uliohudhuriwa na vijana wapatao 70 na kuwezeshwa na bwana Ismail Mnikite ulifana sana ingawa ulichelewa kidogo kuanza.Mada ya mdahalo ilikuwa ni Ushiriki na ushirikishwaji wa vijana katika masuala ya kijamii na kimaendeleo na mada ndogo juu ya masuala ya katiba.Katika mada ya ushirikishwaji vijana waliweza kubungua bongo,kukubaliana na kujifunza maana ya ushiriki,ushirikishwaji na maana ya uwajibikaji.Pia walifunza masuala ya msingi ambayo vijana wanapaswa kushiriki ipasavyo,stadi za kujenga ili kuimarisha ushiriki wenye tija na wenye matokeo.

Mwisho wa Mada washiriki na mwezeshaji walikubaliana kuhairisha mada ya katiba ili irudiwe katika mdahalo wa mwezi wa 3(machi)

mdahalo ulitanguliwa na ufunguzi wa mwenyekiti taratibu za kushiriki na masuala ya utangulizi kutoka kwa kamati ya maandalizi na katibu wa TEYODEN.

YOUTH debate RAPID RETURN FOR MORE NEW AND SKILLS.

The team designed to launch the dialogue of the young was a difference from his sessions every Saturday and once a month did well to reach 60% of the targets set in the session of the executive committee of this karibuni.Mdahalo TEYODEN was attended by about 70 young people and enabled and Mr Ismail Mnikite you succeed too little too late though the debate was kuanza.Mada of participation and involvement of youth in social and developmental issues and sub-topic on topic katiba.Katika issues of youth participation can brainstorm, agree to learn the meaning of participation, involvement and sense of uwajibikaji.Pia were taught the basic issues that young people should participate effectively, build skills to enhance participation and productivity with the results.

End of topic the participants and the facilitator agreed to defer the topic of constitutional debate is resumed, it in the third month (March)

debate was preceded by the opening of the chair mechanisms involved and the issues of introduction from the organizing committee and secretary of TEYODEN.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
February 10, 2012
YOUTH debate RAPID RETURN FOR MORE NEW AND SKILLS. – The team designed to launch the dialogue of the young was a difference from his sessions every Saturday and once a month did well to reach 60% of the targets set in the session of the executive committee of this karibuni.Mdahalo TEYODEN was attended by about 70 young people and enabled and Mr Ismail Mnikite you succeed too little too late though the debate was kuanza.Mada of participation and...