Asili (Kiswahili) | Kiswahili |
---|---|
1.Kuunganisha watu wote wenye taaluma ya uchongaji wa Almasi na Vito kuweza kutumia taaluma yao kujitafutia kipato. 2.Kusaidia watu wasiojua/wasiotambua au kupambanua aina mbalimbali za Madini ili waweze kutambuliwa "mawe/vito/madani"wanavyovipata kwa kuokota nk. 3.Kusaidia kupata Dira ya bei kwa kuzingatia ukubwa,uzito,uboro nk. 4.Kusaidia kutafuta au kuunganisha wenye vito/madini na soko. |
(Bila tafsiri) |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe