| Base (Swahili) | English |
|---|---|
|
Tunaposema makundi ya wanawake yalio pembezono tunamaanisha Lesbian ,bi sexual, transgender ,intersex na sex workers.Si wanawake wakulima walioko vijijini.Hivyo ushiriki wao katika mchakato wa katiba kama wanawake ni muhimu. |
(Not translated) |