Fungua

/Washema/post/29: Kiswahili

AsiliKiswahili
Kikao cha kamati ya utendaji kimeamua kuanzisha darasa lingine lanutoaji wa haki za binadamu – kwenye kata ya Mwena yakilenga utoaji wa elimu ya haki za wanawake na watoto. – Msimamizi wa maunzo wa shirika Bi Tecla Mbawala amebainisha kuwa kazi ya usajili wa washiriki itaanza ambapo Bw. Maurice Ng'hitu amepewa kujumu la kuorodhesha majina.(Bila tafsiri)Hariri