Envaya

/MOROPC/history: English: WI00020CE463548000105469:content

Base (Swahili) English

HISTORIA FUPI YA MOROGORO PRESS CLUB

 

HISTORIA YA KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MOROGORO

 

Chama cha waandishi wa habari Mkoa wa Morogoro(Morogoro Press Club) mchakato wa kuanzishwa kwake ulianza mwaka 1996 ilipofika tarehe 13/3/1997 ikapata usajiri wizara ya Mambo ya ndani na kupata cheti cha usajili chenye namba. SO.NO.9009 ikiwa na wanachama 20 kwa sasa Morogoro Press Club ina wanachama 70.

MADHUMUNI NA MALENGO:

  1. Ni chama cha kitaaluma malengo yake mahususi ni kujenga mahusiano miongoni mwa wanachama na makundi yenye makusudio tofauti ikiwa ni pamoja na taasisi za raia.
  2. Kuwa kitovu cha masuala ya waandishi wa habari katika mkoa wa Morogoro. Kitahakikisha kuwa wanachama wake wanafanyakazi kulingana na maadili ya waandishi wa habari kama ilivyofafanuliwa na Baraza la Habari
  3. Tanzania katika masuala ya vyombo vya habari na maadili yake.
  4. Chama daima kitajikita katika kuandaa programu ya kazi katika:
  5. Kuinua kiwango cha taaluma katika tasnia ya habari kwa kuendesha mafunzo miongoni mwa wanachama wake.
  6. Kuwezesha wanachama kutumia rasilimali chache zilizopo katika kuboresha shughuli za ukusanyaji na usambazaji wa habari miongoni mwa waandishi wa watanzania.
  7. Kuimarisha ushirikiano miongoni mwa waandishi wa habari,watoa habari na taasisi za kitaaluma zenye kulenga kuongeza ufanisi katika habari na mawasiliano kwa maanufaa ya wanachama wote na jamii kwa ujumla.

DHAMIRA:

"Kuwaimarisha waandishi wa habari Kitaaluma"

 DIRA:

"Kuwa na jamii yenye uhuru wa kujieleza na Uhuru wa Habari"

Morogoro Press Club kama ilivyo taasisi nyingine mara baada ya kupata usajili wake ilipita katika hatua mbalimbali za uongozi.

Awamu ya kwanza 1997-2000

Ndg.Anaclet Rwegayura-Mwenyekiti

Bi.Halima Kihemba -Makamu Mwenyekiti

Ndg.Wilson Karuwesa- Katibu na mtunza fedha.

wajumbe watatu wa kamati tendaji

Ndg.Richard Mwangulube

Ndg.Said Mtaalamu

Ndg.Aziza Msuya.

 

Awamu ya pili 2001 hadi 2002

Ndg Said Dogori Mwenyekiti

Ndg.Bonventure Mtalimbo-Makamu Mwenyekiti

Ndg.Aidan Libenanga(sasa Marehemu)-Katibu Mkuu

Bi.Monica Lyampawe- Mtunza fedha.

Wajumbe watatu wa kamati tendaji

Ndg.Simon Berege

Ndg.Halfan Diyu

Ndg.Richard Mwangurube.

Awamu ya tatu 2002 hadi 2004.

Marehemu Seraph Kuandika-Mwenyekiti.

Ndg.Bujaga Kadago- Makamu Mwenyekiti.

Ndg.Sita Peter wake-Katibu Mkuu.

Bi.Merina Robert- katibu Mkuu msadizi.

Bi.Kasilda Mgeni- Mtunza fedha.

wajumbe watatu wa kamati ya tendaji

Nndg.Nikson Mkilanya

Ndg.Samweli Msuya

Ndg.James Mkisi.

Awamu ya nne Julai 2004 hadi 2007.

Ndg.Bonventure Mtalimbo- Mwenyekiti

Bi.Idda Mushi- Makamu Mw/kiti.

Ndg.Thadei Hafigwa- Katibu Mkuu.

Ndg.Said Mtaalam katibu mkuu msaidizi

Ndg.Samweli Msuya- Mtunza fedha

Wajumbe watatu wa kamati tendaji

Marehemu Gilbert Suleman

Ndg.Said Dogoli.

Ndg.Wilson Karuwesa.

Awamu ya tano Julai 2007 hadi 2011

Ndg.Bonventure Mtalimbo- Mwenyekiti

Bi. Idda Mushi- makamu Mw/kiti

Ndg.Thadei Hafigwa -Katibu Mkuu.

Bi.Devota Minja K/Msaidizi.

Ndg.Samweli Msuya- Mtunza fedha

Wajumbe watatu wa kamati tendaji

Ndg.Ramadhani Libenaga

Ndg.Ashton Balaigwa

Bi. Lilian Lucas

Awamu ya sita Novemba 2011-2012

Ndg.Aziz Msuya-Mwenyekiti

Bi.Devota Minja-Makamu Mw/kiti

Ndg.Abedi Dogoli-Katibu Mtendaji

Ndg.Samuel Msuya-Mwekahazina

Bi.Lilian Lucas-Mwekahazina msaidizi

Wajumbe watatu wa kamati tendaji

Bi.Latifa Ganzel

Bi.Monica Liampawe

Ndg.Venance George

Ndg.Thadei Hafigwa-Mratibu

Awamu ya Saba Machi 2013-2014

Bi.Idda Mushi-Mwenyekiti

Ndg.Nickson Mkilanya-Makamu Mw/kiti

Ndg.Abedi Dogoli-Katibu Mtendaji

Ndg.Ramadhan Libenanga-Katibu Mtendaji Msaidizi

Bi.Lilian Lucas-Mwekahazina

Ndg.Peter Kimath-Mwekahazina Msaidizi

Wajumbe watatu wa kamati tendaji

Bi.Vaileth Mbwillo

Ndg.Fadhil Rashid

Ndg.Ashton Balaigwa

Ndg.Thadei Hafigwa-Mratibu

KAMATI YA MAADILI MOROGORO PRESS CLUB 2007-2011

Rashid Lusewa-Mwenyekiti wa Kamati ya MaadilI

Rev.Fr.Raphael Kigunga

Sheikh Mohamed Kairo

Rev.Johnson Chuma.

KAMATI YA MAADILI MOROGORO PRESS CLUB 2011-2014

Rashid Lusewa-Mwenyekiti

Ndg.Wilson Karuwesa

Sheikh Ally Omar-Mjumbe

Rev.Fr.Makseyo-Mjumbe

Ndg.Halfan Diyu-Mjumbe

Ndg.Idda Mushi-Mjumbe

Ndg.Thadei Hafigwa-Mjumbe

Ndg.Abedi Dogoli-Mjumbe

Ndg.Lilian Justice-Mjumbe

Pia Morogoro Press Club ina kamati ndogondogo za kusaidia kuharakisha utekelezaji wa majukumu ya kila siku.

Kamati ya mikutano,mialiko na Press conference.

Kamati ya mipango uchumi na fedha

Kamati ya michezo na burudani

Kamati ya ustawi wa wanachama(majanga)

Kamati ya mipango na maendeleo ya wanachama.

Kamati ya mahusiano ya ndani na nje.

Wenyeviti wa kamati hizi ni wajumbe wa kamati ya utendaji ambao kila mmoja anawasilisha taarifa ya kazi zao katika kamati tendaji kabla ya kuwasilishwa kwenye mkutano mkuu wa wanachama wote.

Mkoa wa Morogoro una waandishi wapatao zaidi ya 100 walio wanachama wanaofanyakazi katika vyombo mbalimbali vya habari vya serikali na binafsi.

MAFANIKIO YA CHAMA.

MOROPC imepata mafanikio makubwa yakiwemo;

  1. Kuwa sauti kwa wasio na sauti.
  1. Kuwa kiungo kati ya serikali na wananchi(people centered)
  1. Morogoro Press Club imeweza kujiunga na taasisi za kitaaluma kama vile umoja wa waandishi wa habari Tanzania(UTPC) na Baraza la Habari Tanzania(MCT).
  2. Kutokana na kuwa mwanachama wa taasisi hizo MOROPC kimenufaika vitendea kazi(vifaa vya ofisi) kama kompyuta,TV,Printer,scanner,kamera ya picha za mnato na picha za video(moving)
  1. Pia wanachama wanapata mafunzo na semina za kitaaluma katika kukumbusha masuala yote ya kimaadili.wanachama wanapata machapisho mbalimbali ya kitaaluma.
  2. kufungua tovuti yake kwa lengo la kuwahabarisha jamii kazi na majukumu mbalimbali yanayotekelezwa kutipitia taaluma ya habari.
  3. kuanzisha mfumo maalum wa kusaidiana katika masuala mbalimbali ya kijamii.

Ofisi ya MOROPC ipo katika jengo la Chama cha Walimu Tanzania(CWT) iliopo kata ya Kingo mkabala ya Mahakama ya mwanzo ya Nunge.

MIKAKATI YA KLABU.

Pamoja na mafanikio yote hayo pia MOROPC ina mikakati ya muda mrefu na muda mfupi,ikiwa ni pamoja na kuanzisha kituo cha HABARI Information (CENTRE).

Kuanzisha jarida la chama kwa ajili ya kupanua wigo wa kuwaweka wananchi karibu.

MAHUSIANO NA TAASISI ZINGINE

MOROPC imekuwa na mahusiano na taasisi za ndani na nje ya nchi AkibaUhaki foundation iliopo Nchini Kenya,Umoja wa Klabu za waandishi wa Habari Tanzani(UTPC) na Baraza la Habari Tanzania(MCT)

CHANGAMOTO

Morogoro Press Club kwa sasa ina toa huduma kwenye jengo la kupanga hivyo haina jengo lake.

MOROPC inakabiliana na changamoto ya raslimali fedha kwa ajili ya kutekeleza mipango mkakati ya kuimarisha taasisi na wanachama wake.

ORODHA YA WANACHAMA

S/N

JINA LA MWANACHAMA

CHOMBO CHA HABARI

EMAIL

PHONE

1

LILIAN LUCAS

MWANANCHI

lilylucas85@hotmail.com

0715880133

2

LATIFA GANZEL

UHURU

latifaganzel@yahoo.com

 0717707011

3

CATHERINE OGESSA

SUA TV

camaongo@yahoo.com

 0713596252

4

AZIZ MSUYA

B/TIME/MAJIRA

aziz_msuya@yahoo.com

 0713606992

5

ABEDI DOGOLI

ABOOD MEDIA

a_dogoli@yahoo.com

 0716778632

6

AZIZA MSUYA

FREELANCER

azizamsuya2004@yahoo.co.uk

 0754752697

7

SAMUEL MSUYA

FREELANCER

samuelmsuya@yahoo.com

 0713200023

8

ALOYCIA MHINA

RADIO JAMII-KILOSA

aloyciamhina@yahoo.com

 0787091531

9

YOHANA FUNDI

TOP RADIO

yfund@yahoo.com

0713384840

10

JOSEPHINE MAXIME

ABOOD MEDIA

josemaxime23@yahoo.com

 0714899321

11

JOSEPH MALEMBEKA

TANZANIA DAIMA

josephmale2001@yahoo.com

 0784824151

12

ANITHA CHALLI

RADIO TIMES

anithachalli@yahoo.com

 0716125653

13

LOVENESS NYAWILI

FREELANCER

lovenesslatuki@yahoo.com

 0715819479

14

MOHAMED NGWENJE

FREELANCER

mngwenje@yahoo.com

 0713181760

15

HABIBA YAHYA

MWANANCHI

habibayahya@gmail.com

 0718044742

16

ADAM VENANCE

RADIO UKWELI

chiliutwa@yahoo.com

 0717638611

17

PRAXEDA MTANI

TBC

praxedamtani@yahoo.com

 0655313888

18

THADEI HAFIGWA

JAMBO LEO

hafigwa@yahoo.com

 0754683186

19

UCHULI CHIKILLA

RADIO IMAAN            

  0712472960

20

WILSON M.KARUWESA

FREELENCER

karuwesa@yahoo.com

 0754052362

21

BONVENTURE MTALIMBO

JITEGEMEE

bonnymtalimbo@yahoo.com

0713341093

22

GABRIEL LESHABARI

ABOOD MEDIA IFAKARA

leshagaby@gmail.com

 0755566443

23

FADHIL RASHID

RADIO JAMII KILOSA

fezzyd@yahoo.com

 0713384740

24

ASHA SIMBA

RADIO JAMII KILOSA

aabushiri@yahoo.com

 0712801838

25

PETER MGUMIA

FREELANCER

pumia@yahoo.com

 

26

HALFAN DIYU

MAJIRA

Halfadi68@yahoo.com

 0715621767

27

FARIDA MSENGWA

UHURU

faridamsengwa@yahoo.com

 0786729373

28

SEVERIN BLASIO

MAJIRA

severinblasio@yahoo.com

 0719312191

29

VAILETH MBWILLO

PAMBAZUKO FM IFAKARA

vailethmbwillo@yahoo.com

 0753564383

30

MONICA LIAMPAWE

TBC

mliampawe@yahoo.com

 0713440521

31

FARIDA MKONGWE

SUATV

faridamkongwe@yahoo.co.uk

0754370047

32

SALUM KOLWE

SUATV

   

33

YUSUFU KITOGO

ABOOD MEDIA

 

0717638611

34

IDDA MUSHI

ITV

iddamushi@gmail.com

 0784296927

35

SAIDI MTALAAM

PAMBAZUKO FM-IFAKARA

mtaalamsaidi@gmail.com

 07844024786

36

LILIAN JUSTICE

MAJIRA

Lilianchuwa5@gmail.com

 0653747599

       

 

37

ASHTON BALAIGWA

NIPASHE

ashtonbally@yahoo.com

0713811110

38

PROSPER KULITA

ULANGA FM

prosperkulita@yahoo.com

-

39

FITINA HAULE

NIPASHE

fitinah@yahoo.com

 0713328590

40

JOHN KIDASI

RADIO UKWELI

johnnege@hotmail.com

 0653912959

41

EMILIA MSAFIRI

RADIO UKWELI

 

0754841310

42

AGNESS HAULE

HABARI LEO

Agneshaule27@yahoo.com

 0656597840

43

JIMMY MENGELE

CHANNEL TEN

jimmymengele@yahoo.com

 0713200020

44

VIVIAN MWAISANGO

 FREELANCER

vivianalpha@yahoo.com

0764185635

45

ANNE JULIUS

RADIO UKWELI

Annejulius15@yahoo.com

0767968910

46

ATHUMAN SHEKIONDO

ABOOD MEDIA

-

0713769671

47

HILDA SINGANO

ABOOD MEDIA

hildasingano@yahoo.com

0715875993

48

NICKSON MKILANYA

STAR TV

mkilanyastatv@gmail.com

0713200018

49

MERINA ROBERT

MTANZANIA

merinabob@yahoo.com

0657646380

50

AZIZA MSUYA

FREELANCER

azizamsuya@yahoo.co.uk

0754752697

51

PETER KIMATH

JAMBO LEO

mkimath@gmail.com

0713529370

52

GETRUDE KASSARA

FREELANCE

gkassara@yahoo.com

0717036966

53

DUSTAN SHEKIDELE

GLOBAL PUBLISHERS

dustanshekidele@gmail.com

0715289073

54

HAMIDA SHERIFF

MWANANCHI

ladyhamida@yahoo.com

0715681287

55

JOHN NDITI

HABARI LEO

jnditi@yahoo.com

0755036471

56.

MCNAMARA NGHAMBI

MWANANCHI

maccogan@yahoo.com

0717086733

57.

ATHONY MHANDO

PLANET FM

-

0655559757

58.

JAMES MKISI

FREELANCER

-

0658327748

59

SAFIA MAFUTAH

ABOOD MEDIA

safiamafutah@yahoo.com

0654088206

60

FRANK MAPUNDA

SUATV

-

0657644700

61

PRAXEDA MTANI

TBC

praxedamtani@yahoo.com

0655313888

62

LIBUHI SALEHE

SUATV

-

0754617205

63

SALUM MKOLWE

SUATV

smkolwe@yahoo.com

0653245554

64

SUSUMA SUSUMA

PRO-MVIWATA

-

0715652773

65

IMELDA MWAKYUSA

CHANNEL TEN

 

0713323578

66

67

 

68

69.

70

71

72

73

74

75

76

77

78

79

80

81

 

 

 

BRYCESON MATHIAS

LWANGA MSALICHUMU

MBUTTA

ZAINABU SWALEHE

ESTHER MWIBULA

VUMILIA KONDO

CHRISTIAN KILEWA

RIZIKI HOZA

AUGUSTINE NONGWE

YUSUFU KITOGO

GERALD NKAMIA

LIBUHI SWALEHE

GODFREY LIKANGAGA

IMELDA MWAKYUSA

JAMES MKISI

PROSPER KULITA

DEOGRATUS CHELECHELE

AMINA SAIDI

 

 

 

MAJIRA

FREELANCER

 

0754933308

 

 

 

 

 

 

SHORT HISTORY OF PRESS CLUB MOROGORO

Club history Reporters Morogoro Region

Association of the reporters Morogoro Region (Morogoro Press Club) the process of its establishment was started in 1996 came on 13/3/1997 was struck registration ministries of Interior and obtain a certificate of registration numbers. SO.NO.9009 with 20 members currently Morogoro Press Club has 70 members.

OBJECTIVES AND GOALS:

  1. It is a professional association of its specific goals is to build relationships among members and groups of different purposes including civilian institutions.
  2. Being the hub of affairs reporters in Morogoro region. Will ensure that its members are working in accordance with the ethics of journalism as defined by the Media Council
  3. Tanzania in terms of media and its values.
  4. The party always kitajikita in program of work in
  5. Raise the level of professionalism in the industry of information to conduct training among its members.
  6. Enabling members to use scarce resources to improve the activities of collection and dissemination of information among the authors of Tanzanians.
  7. Strengthening cooperation among the reporters, information providers and academic institutions with a focus on increasing efficiency in information and communication maanufaa all members and the general public.

MISSION:

"Reinvigorate the reporters Professional"

VISION:

"Having a community of freedom of expression and freedom of information"

Morogoro Press Club as other institutions immediately after its registration was carried in various stages of leadership.

First Phase 1997-2000

Ndg.Anaclet Rwegayura-Chair

Bi.Halima Kihemba-Vice Chairman

Ndg.Wilson Karuwesa-secretary and treasurer.

three members of the Executive Committee

Ndg.Richard Mwangulube

Ndg.Said Specialist

Ndg.Aziza Msuya.

Phase II 2001 to 2002

Ndg drum Said Chair

Ndg.Bonventure Mtalimbo-Vice Chairman

Ndg.Aidan Libenanga (now deceased)-Secretary-General

Monica Lyampawe-Cashiers.

Three members of the Executive Committee

Ndg.Simon Berege

Ndg.Halfan Diyu

Ndg.Richard Mwangurube.

Three phase 2002 to 2004.

Writing Seraph late-Chair.

Ndg.Bujaga Kadago-Vice Chair.

Peter Ndg.Sita wake-Secretary-General.

Robert Bi.Merina assistant-secretary general.

Bi.Kasilda Guest-Cashiers.

three members of the executive committee

Nndg.Nikson Mkilanya

Ndg.Samweli Msuya

Ndg.James deficiency.

The fourth phase in July 2004 to 2007.

Ndg.Bonventure Mtalimbo-Chair

Bi.Idda Mushi-Vice Mw / seat.

Ndg.Thadei Hafigwa-Secretary-General.

Expert Ndg.Said assistant secretary general

Ndg.Samweli Msuya-Cashiers

Three members of the Executive Committee

Late Gilbert Suleman

Ndg.Said Dogoli.

Ndg.Wilson Karuwesa.

The fifth phase in July 2007 to 2011

Ndg.Bonventure Mtalimbo-Chair

Bi. Idda Mushi-vice Mw / seat

Ndg.Thadei Hafigwa-Secretary-General.

Bi.Devota Minja K / Counselor.

Ndg.Samweli Msuya-Cashiers

Three members of the Executive Committee

Ndg.Ramadhani Libenaga

Ndg.Ashton Balaigwa

Bi. Lilian Lucas

Phase six in November 2011-2014

Ndg.Aziz Msuya-Chair

Bi.Devota Minja-Vice Mw / seat

Ndg.Abedi Dogoli-Executive Secretary

Bi.Lilian Lucas-Mwekahazina

Three members of the Executive Committee

Bi.Latifa Ganzel

Monica Liampawe

Ndg.Venance George

Ndg.Thadei Hafigwa-Coordinator

ETHICS COMMITTEE PRESS CLUB MOROGORO 2007-2011

Rashid Lusewa-Chair of the Ethics Committee

Rev.Fr.Raphael acacia

Sheikh Mohamed Cairo

Rev.Johnson Iron.

ETHICS COMMITTEE PRESS CLUB MOROGORO 2011-2014

Rashid Lusewa-Chair

Ndg. Sikalumba (Advocate)-Secretary of the Committee on Ethics

Ndg.Wilson Karuwesa

Ally Sheikh Omar-member

Rev.Fr.Makseyo-member

Ndg.Halfan Diyu-member

Ndg.Aziz Msuya-member

Ndg.Thadei Hafigwa-member

Ndg.Abedi Dogoli-member

Ndg.Lilian Justice-Member

Also Morogoro Press Club has a small committee to help accelerate the implementation of daily duties.

Committee meetings, invitations to Press conference.

Committee on economic and financial plans

Committee...


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
January 13, 2013
SHORT HISTORY OF PRESS CLUB MOROGORO – Club history Reporters Morogoro Region – Association of the reporters Morogoro Region (Morogoro Press Club) the process of its establishment was started in 1996 came on 13/3/1997 was struck registration ministries of Interior and obtain a certificate of registration numbers....
This translation refers to an older version of the source text.
Google Translate
April 10, 2012
SHORT HISTORY OF THE PRESS CLUB MOROGORO – Club of the reporters Morogoro Region (MOROPC) was officially established in 1996, where in 1997 Morogoro Press Club had registered and vegetable variety uungozi the first round if ongonzwa and Anaclet Rwegayura who is currently in Ethiopia working as a representative of Panapress, vicar at Halima Kihemba, secretary and treasurer,...
This translation refers to an older version of the source text.
Google Translate
February 22, 2012
Club of the reporters Morogoro Region (MOROPC) was officially established in 1996, where in 1997 Morogoro Press Club had registered and vegetable variety uungozi the first round if ongonzwa and Anaclet Rwegayura who is currently in Ethiopia working as a representative of Panapress, vicar at Halima Kihemba, secretary and treasurer, brothers, Wilson Karuwesa, while members are Richard Mwangulube, Expert and Aziza Said Msuya. – Phase II 2001 to 2002 was led by Brother Saidi Dogoli...
This translation refers to an older version of the source text.