Base ((unknown language)) | English |
---|---|
ZIJUE FAIDA ZA MTOPETOPE i. Miti huu huweza kupandwa na kustawi sehemu kubwa ya nchi yetu ii. Uvunaji na matumizi ya majani ni wa gharama nafuu, rahisi na pia ni rafiki wa mazingira iii. Ina uwezo wa kuua viluilui vya mbu wasambazao ugonjwa wa malaria, matende, mabusha na homa ya manjano kwa wingi na kwa muda mfupi |
(Not translated) |