Base (Swahili) |
English |

Baadhi ya waharibifu wa mazingira na pia watumiaji wa madawa ya kulevya zikiwemo bangi katika Mji wa Mwanakwerekwe wakiteremsha mchanga waliouchimbwa katika maeneo yasioruhusika na kupelekea athari mbali mbali katika jamii. MEECO inatoa elimu kuhusu uharibifu wa mazingira uliokithiri katika mji huo na Zanzibar yote kwa ujumla
|

Some environmental degradation and drug users, including marijuana in the City of Mwanakwerekwe been revealed sand were dug in areas yasioruhusika leading to various effects in the community. MEECO provides education about environmental degradation and poverty in Zanzibar town all general
|