Envaya
/MAUJATA/post/6
: English
Base
English
Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania imefanya kazi na Halmashauri ya Geita katika kuibua mradi wa MAZINGIRA unaoitwa OBORESHAJI MAZINGIRA BONDE LA ZIWA VICTORIA.1 Kondo la Nungwe. – 2 Nkome. – 3Kabiga
(Not translated)
Edit
Hawa ni wakulima wa mashamba ya miwa yaliyolimwa kandokando ya ziwa victoria wanavyoonekana katika picha.Wakati timu ya kamati ya ifadhi mazingira iliyoundwa kusimamia miradi yao ya kulinda uwoto wa asili na ziwa lisivuliwe chini ya Afisa Samaki,Misitu,na Asasi isiyo yan Kiserikali.CHINI YA KAMPENI YA TAIFA YA UIFADHI MAZINGIRA ZIW VICTIRIA. 06/03/2013 (image) (image) – 1 Katikati katika picha ni mwenyekiti wa kamati ya uhifadhi Mazingira...
(Not translated)
Edit