Base (Igiswayire) | Kinyarwanda |
---|---|
HISIA CULTURAL TROUPE-HCT February 8, 2017 Iringa HCT ni asasi iliyosajiliwa na Baraza la sanaa la Taifa (BASATA) kwa usajili namba BST/2365 na inajishughulisha na uelimishaji wa jamii kwa njia ya sanaa za maonyesho. Sanaa hizo ni kama vile maigizo shirikishi, vichekesho, utambaji wa hadithi na ushairi. Aidha asasi yetu inaelimisha jamii katika maeneo mbalimbali kama vile kinga dhidi ya UKIMWI, athari za madawa ya kulevya, afya ya uzazi na ujinsia, utawala bora, utafiti, ukuzaji wa vipaji, michezo, elimu rika, utunzaji wa mazingira na uhamasishaji wa utalii wa ndani. Sasa Asasi yetu inapokea vijana kwa ajili ya kufanya field. Vijana hao wawe na sifa zifuatazo:-
Kwa mawasiliano zaidi piga namba zifuatazo:- 0754 439740 0786 439740 0715 474527 0652 600002 hisiaone@gmail.com
|
(Not translated) |
Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe