Base (Swahili) |
English |
- MED itaendesha vipindi vya Radio kuanzia Machi 2011 kupitia Radio Kifimbo FM.
- Midahalo ya wazi kujadili masuala ya Maendeleo.
- Mikutano ya Club za Marafiki itafanyika katika viyuo vya Mazengo, Kikuyu, Hazina na Image kwa mwezi Machi, 2011
- Mafunzo ya Uandishi wa Habari za jamii kwa Marafiki wa Elimu yatafanyika Kikuyu Sekondari, tarehe 10 Septemba, 2011
HERI YA MWAKA MPYA 2012
Pamoja na salam za mwaka mpya; Asasi ya Marafiki wa Elimu Dodoma inawatakia kila la kheri katika kushiriki kikamilifu katika masuala mbalimbali ya maendeleo ya nchi yetu.
Mwaka 2012 MED inatarajia kujikita zaidi katika masuala yafuatayo:-
- Kuongeza kasi ya uhamasishaji wa jamii, wanafunzi na wazazi katika kuboresha miundombinu ya Elimu ili kuyafanya mazingira ya kujisomea na kujifunzia katika shule zetu kuwa rafiki kwa walimu na wanafunzi.
- Kuwezesha ufanyikaji wa Mijadala ya wazi, Midahalo, Mikutano ya wanafunzi na jamii katika masuala ya Maendeleo.
- Kuimarisha KLABU za Marafiki katika shule mbalimbali za Msingi na Sekondari na kuanzisha KLABU mpya ndani ya shule na nje ya shule.
- Kuendeleza juhudi za wanaharakati wa Elimu na maendeleo katika kuibua mijadala mbalimbali na kuzifanyia kazi changamoto zilizopo.
- Kuimarisha mijadala kuhusu haki za wanafunzi na kutambua wajibu wao kwa walimu na jamii.
- Kuendesha vipindi mbalimbali vya Radio kwa ajili ya kuhamasisha, kuelimisha na kujadili masuala muhimu ya jamii hususan Elimu, Afya na Maendeleo.
- Kuboresha data base ya Marafiki wa Elimu Dodoma kwa kuhuisha kumbukumbu za wanaharakati na kuongeza wanaharakati wapya.
- MED kwa kushirikiana na wadau wake kutafuta namna ya kukabiliana na changamoto ya umaskini inayozidi kuwaandama wananchi wa Tanzania hususan Dodoma ili kuongeza kipato chao.
- Kuimarisha kitengo cha Upashanaji habari kwa kuweka audio na video katika mtandao ili wale wasioweza kusoma wasikilize na kuona baadhi ya taarifa za matukio mbalimbali ya wanaharakati.
|
- WITH will pursue Radio sessions from March 2011 through FM Radio baton.
- Open dialogue to discuss issues of development.
- Meetings of the Club of Friends held in viyuo of Mazengo, Kikuyu, Treasury and Image in March, 2011
- Studies Journalism community for Friends of the Kikuyu Secondary Education will be held on September 10, 2011
Happy New Year 2012 With the new year greetings, organization of the Friends of Education Dodoma inawatakia of the good things in actively participating in various aspects of the development of our country. In 2012 WITH intends to focus on the following issues: - - Increase the speed of mobilization of the community, students and parents in improving the infrastructure of education to make reading and learning environment in our schools to be friends with the teachers and students.
- To facilitate the formation of open discussions, Forums, meetings of students and society in development issues.
- Strengthening the Club of Friends in various schools of Primary and Secondary Education to establish a new Club in the school and outside school.
- Promotion efforts of activists of Education and various developments in discussions to explore and work challenges.
- Strengthening dialogue about the rights of students and teachers to recognize their responsibility to society.
- Conducting various Radio programs to encourage, educate and discuss important social issues such as Education, Health and Development.
- Improve data base of Friends of Education to streamline records Dodoma activists and add new activists.
- WITH its stakeholders to collaborate and find ways to cope with the challenges of poverty exceeds kuwaandama citizens Dodoma Tanzania especially to increase their income.
- To strengthen information communication unit for setting audio and video on the Internet to those who can read and listen to see some updates on a variety of activists.
|