Envaya
/TACOMO/news
: Kinyarwanda
Base
Kinyarwanda
(image) – Daraja la udongo hilo je ni salama ama ni kushindwa kuwajibika kwa viongozi tunaowachagua?!!!
(Not translated)
Hindura
(image) – NANI MWENYE HAKI YA KUMBEBA MTOTO KATI YA HAWA WALIOWABEBA WATOTO?
(Not translated)
Hindura
(image) – TUKOMESHE ajira kwa watoto. Hawa ni watoto wa kike wakazi wa eneo la Iziwa Jijini Mbeya wakiwa wamebeba kuni kwa ajili ya kuuza ili kujipatia kipato.
(Not translated)
Hindura
(image) – Wakina Mama wajasiliamali katika Kata ya Mshangano Manispaa ya Songea wakiuza mazao ya mbogamboga chini katika Soko la Mshangano ambapo wamekuwa wakitozwa ushuru wa kati ya Shilingi 200 na 500 kwa siku kutokana na biashara hiyo,licha ya kuwa ni hatari kwa afya za watumiaji,imekuwa ikishangaza kuona Manispaa inachukua ushuru bila kujali kutengeneza miundombinu stahiki katika soko hilo jambo ambalo linatafsirika kama ni kuwadhulumu wakina mama hao miaka...
(Not translated)
Hindura
(image) – Kulia ni Mtunza hazina wa TACOMO Ezekiel Kamanga akiwa na Mkurugenzi wa TACOMO wakitafakari jambo.
(Not translated)
Hindura
(image) – Watoto kama hawa wanastahili kuendelezwa vipaji vyao kama wanavyoonekana, hawana viatu lakini duh! mambo safi
(Not translated)
Hindura
(image) – Je uvunaji huu wa kisasa unaoendelea katika shamba la shirika la kilimo Uyole Jijini Mbeya, wakulima wadogohasa vijijini watafikia hapo?
(Not translated)
Hindura
(image) Wanafunzi wa darasa la pili wa shule ya Msingi Yala wilayani Mbarali mkoani Mbeya wakiwa nje ya madarasa yao wakijifunza kuhesabu kama walivyokutwa na Ezekiel Kamanga wa Shirika lisilokuwa na Kiserikali la TANZANIA COMMUNITY MEDIA ORGANIZATION (TACOMO)
(Not translated)
Hindura
(image) – WAZEE HAWA WANATAKIWA KUTHAMNIWA SI KUTUMIKA KATIKA SIASA AFRIKA.
(Not translated)
Hindura
(image) – MTOTO KUMBEBESHA MTOTO MWENZAKE JE NI MALEZI MAZURI? TUTAFAKARI!
(Not translated)
Hindura