Log in

/MOROPC/news: English: WI00009CF6D1DCD000106901:content

« Previous   ·   Next »
Base (Swahili) English

Mnamo Februari 29,2012 wawakilishi wa  MOROPC  walikutana na ujumbe wa balozi wa Sweden katika hotel ya Hilux ambapo wajumbe waliohudhuria kikao hicho ni

Aziz Msuya

Abedi Dogoli

Thadei Hafigwa

Samuel Msuya

Kenneth Simbaya-Rais wa UTPC

Tumsifu Mmari-Mwakilishi ubalozi wa Sweden

Anders Emanuel- Mwakilishi wa Ubalozi wa Sweden

Kikao kilianza kwa Rais wa UTPC Kenneth Simbaya kutoa utambulisho kisha Bw.Anders Emanuel kutoka ubalozi wa Sweden alitaka kujua ni jinsi gani Klabu ya waandishi wa habari imeweza kuleta mabadiliko katika jamii ya watu wa Morogoro.

Viongozi wa Klabu ya waandishi wa habari walitaja kuwa maeneo mengi ambayo wameyafanyiwa kazi kwa manufaa ya wananchi,maeneo hayo ni Hospitali ya Mkoa, Elimu katika Mkoa wa Morogoro na Migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

Katika hayo MOROPC walianza ziara ya kutembelea maeneo yasiyofika kiurahisi na kuwa sauti za watu ambazo hasikiki ikiwemo kutembelea shule ya sekondari Mikese. Shule ya sekondari Fulwe na Shule za msingi zilizo pembezoni mwa manispaa ya Morogoro kuweza kujionea changamoto zinazowakabili.

Viongozi wa Klabu ya waandishi wa habari walisema kuwa yapo mengi ambayo wameyafanya kwa manufaa ya wananchi ila waligusia maeneo matatu ambayo ni;

Hospitali ya Mkoa, Elimu katika Mkoa wa Morogoro na Migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji.

Katika mazungumzo hayo walianza kwa kuelezea ziara ya kutembelea maeneo yasiyofika kiurahisi hivyo MOROPC imekuwa msemaji wa makundi ya watu wasiokuwa na sauti(watu wanaoishi pembezoni mwa mji) ambao sauti zao hazisikiki.

Waandishi waliweza kutembelea shule ya sekondari Mikese,Shule ya Sekondari Fulwe na Shule za msingi zilizo pembezoni mwa Manispaa ya Morogoro ikiwemo shule ya Sekondari ya Uluguru kuweza kujionea changamoto zinazowakabili.

Maeneo yafuatayo yameanishwa na MOROPC kwa ujumbe wa Ubalozi wa SIDA katika mazungumzo ya awali yaliongozwa na Rais wa UTPC Kenneth Simbaya;

AFYA

Katika eneo la afya MOROPC ilichukua jukumu la kufanya ziara katika hospitali ya rufaa mkoa wa Morogoro ambapo ilibainika kuwepo kwa matatizo mbalimbali wanayowakabili wagonjwa ikiwemo ucheleweshwaji wa kupatiwa huduma kutokana na madaktari kutokuwepo katika eneo la kazi,Wodi ya wazazi kuwa na wagonjwa wengi na wengine kulala chini na uchakavu wa chumba cha kuhifadhia maiti, uchakavu wa vyandarua na mashuka, ukosefu wa baiskeli za kubebea wagonjwa.

Aidha waandishi waliweza kuibua hali mbaya ya mazingira katika hospitali hiyo, ubovu wa jenereta la dharura wakati kunapokuwa hakuna umeme wa gridi ya Taifa , ukosefu wa chumba cha kufulia nguo.

Baada ya kubaini hayo MOROPC iliweka agenda ya kuandika habari za hospitali hiyo ya rufaa kwenye vyombo mbalimbali vya habari kwa kipindi cha wiki moja mfululizo ikalazimu mkuu wa mkoa wa Morogoro kufanya ziara ya kustukiza na kubaini uzembe wa uwajibikaji katika Hospitali hiyo.

Kisha Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Abdulaziz Abood alifuatia kwa kufanya ziara katika hospitali hiyo ambapo naye alijionea matatizo hayo na kutoa msaada wa mashuka,sabuni na baiskeli za kubebea wagonjwa.

Hali hiyo iliufanya uongozi wa Mkoa kupitia kwa katibu tawala kuanza kuboresha miundo mbinu na kujengwa kwa chumba maalum cha kufulia nguo.

Hivyo, MOROPC inaamini kuwa kazi ya vyombo vya habari ilisaidia kutatua kero za wananchi ambao walikuwa hawana mtu wa kuwasemea jambo hilo ilipelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa kutoa shukrani kwa MOROPC kwa jitihada zake huku wengine wakitembelea ya MOROPC kutoa shukrani kutokana na habari hizo.

Mazingira hayo yamepelekea MOROPC kuamini kwa kutembea kifua mbele kwamba hayo ni matunda ya kazi yake baada ya kusikiliza kero za wananchi zilizokuwepo kwa muda mrefu bila ya kutatuliwa na kuzifanyika kazi.Hivyo baada ya waandishi wa habari kufanya kazi zao kwa kuhabarisha umma serikali ilichukua hatua kwa kipindi kifupi na baadhi ya watendaji kuwajibishwa na baadhi kuhamishwa vituo vyao vya kazi.

ELIMU

Pia katika suala la elimu MOROPC iliandaa ziara katika shule mbalimbali ikiwemo shule ya sekondari Uluguru, Shule ya msingi Fulwe na Shule ya sekondari Fulwe ambapo vigezo vilivyozingatiwa katika ziara hiyo ni kuangalia ujenzi wa majengo yanayojengwa na serikali kwa kushirikiana na wananchi katika miradi ya MEM na MES na kubaini ya kuwa majengo mengi yamejengwa chini ya kiwango ambacho hakilingani na thamani halisi ya fedha zilizotolewa.

Mafanikio yalipatikana baada ya kuandikwa na kutangazwa kwa habari hizo kwa kamati ya ujenzi ya wilaya ilianza kufuatilia ujenzi ule na kuwabana wakandarasi waliojenga majengo chini ya kiwango kuyaboresha upya na mkandarasi kukagua mara kwa mara hatua moja baada ya nyingine wakati wa ujenzi.

MOROPC pia katika eneo hili imetimiza wajibu wake vema ambapo inajivunia kuwa imeweza kusaidia jamii kuwa na majengo bora yatakayodumu kwa muda mrefu,imesaidia kuwepo kwa uwajibikaji kwa viongozi wa serikali(accountability).

ARDHI

Katika suala la migogoro ya ardhi kulingana sheria za ardhi namba 4 na 5 za mwaka 1999 MOROPC imeweza kuwasaidia wananchi kwa kuripoti habari mbalimbali kuhusiana na migogoro kati ya wafugaji na wakulima hasa katika wilaya ya Kilosa ambapo tatizo kubwa lililoonekana ni kuwa Serikali haikuwa sahihi kutoa maamuzi yake katika migogoro hiyo ikiwemo kuwahamisha wafugaji bila ya kuwatengea eneo lao walipotakiwa waondoke katika wilaya ya Kilosa kwamba ni wapi walitakiwa kwenda.

MOROPC kwa kushirikiana na wadau wake wakubwa ambao ni UTPC na MCT iliendesha mkutano wa mahusiano mema kati ya waandishi wa habari,wakulima na wafugaji wa kutoka wilaya ya Kilosa baada ya kutokea hali ya sintofahamu miongoni mwao.

 

Utekelezaji wa shughuli hizo yameleta heshima kubwa kwa MOROPC kwa kutekeleza wajibu wake ambapo wadau mbalimbali wamekuwa na imani kubwa kwa MOROPC na washirika wake ambao ni UTPC na MCT.

 

 

Leading the Morogoro Press Club on February 29,2012, could meet with the delegation's ambassador to Sweden in the Hilux hotel where delegates who attended the session is

Aziz Msuya-Chair

Dogoli-Abed Executive Secretary

Thadei Hafigwa-ordinator

Samuel Msuya-Treasurer

Kenneth Simbaya-President of TPC

Praise Mmari-Representative Embassy of Sweden

Anders Emanuel-representative of the Embassy of Sweden

The meeting began with President Kenneth Simbaya TPC provide identity and Bw.Anders Emanuel from the Embassy of Sweden wanted to know how writers club managed to bring about changes in society of people of Morogoro.

Leaders Club to reporters stated that many areas which have yafanyiwa work for the benefit of citizens, these areas are Regional Hospital, Morogoro Region Education and Conflict between farmers and pastoralists.

In this MOROPC began visiting yasiyofika areas easily and people's voices that are not sikiki including high school visits Mikese. Fulwe secondary schools and primary schools which are along the Morogoro municipality to see challenges.

Leaders Club to reporters said that there are many that have done for the benefit of the citizens, but they touched on three main areas;

Regional Hospital, Education in Morogoro Region and land disputes between farmers and pastoralists.

In the talks began by describing a visit to visit places so easily yasiyofika MOROPC has been a spokesman for the groups of people who have no voice (people living in the outskirts of the city) whose voices are not heard.

The authors were able to visit secondary schools Mikese, Fulwe School and primary schools which are along the Morogoro Municipality, including the secondary schools to observe Uluguru challenges.

Following areas and MOROPC yameanishwa message Embassy of SIDA in earlier negotiations led by President Kenneth Simbaya TPC;

HEALTH

In the health area MOROPC took responsibility to make the trip in a referral hospital Morogoro region where it was found that the existence of various problems yowakabili patients including delays for service because doctors lack in the area of work, ward parents have many patients and others to lie under and depreciation of room for storing corpses, deterioration of the nets and sheets, lack of bicycle carrying patients.

Either the authors were able to generate adverse environmental conditions at the hospital, the emergency generator poor when there was no electricity grid, the lack of room and laundry.

After identifying these MOROPC set agenda to write about the referral hospital in various media for the past week series ikalazimu head of Morogoro region to visit and pick kustukiza negligence of responsibility in the hospital.

The Member of the State of Morogoro Urban Hon. Abdulaziz Abood was followed by visits at the hospital where he see these problems and provide support sheets, soap and bicycles carry patients.

Situation iliufanya leadership through the Regional Administrative Secretary to start improving infrastructure and built to the laundry room.

So, MOROPC believes that the work of the media helped resolve the concerns of citizens who did not have a kuwasemea it resulted Office Regional gratitude for MOROPC for his efforts while others visit the MOROPC give thanks for the information.

The environment has led MOROPC believe in walking the chest before that it is the fruit of his work after hearing the concerns of the country that existed for so long without resolved by kuzifanyika kazi.Hivyo after the reporters do their job to inform the public the government took steps during summary and some executives held to account and transferred some work stations.

EDUCATION

Also in terms of education MOROPC organized visits to schools, including secondary school Uluguru, Primary School Fulwe and High school Fulwe where parameters vilivyozingatiwa tour is watching the construction of buildings being built by the government in partnership with people in projects PEDP and SEDP and...


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
April 10, 2012
Leading the Morogoro Press Club on February 29,2012, could meet with the delegation's ambassador to Sweden in the Hilux hotel where delegates who attended the session is – Aziz Msuya-Chair – Dogoli-Abed Executive Secretary – Thadei Hafigwa-ordinator – Samuel Msuya-Treasurer – Kenneth Simbaya-President of TPC ...
This translation refers to an older version of the source text.
Google Translate
March 1, 2012
Leading the Morogoro Press Club on February 29,2012, could meet with the delegation's ambassador to Sweden in the Hilux hotel where delegates who attended the session is – Aziz Msuya-Chair – Dogoli-Abed Executive Secretary – Thadei Hafigwa-ordinator – Samuel Msuya-Treasurer – Kenneth Simbaya-President of TPC ...
This translation refers to an older version of the source text.