Log in

/MEECO/news: English

BaseEnglish
(image) – Moja ya Vikao vya MEECO katika kujadili mas-ala ya utendaji wa jumuiya hiyo kikihutubiwa na Mshauri wa kigeni wa MEECO Bi. Katrina(image) – One of MEECO Sessions to discuss matters pertaining to the performance of community kikihutubiwa and Foreign Advisor Ms. MEECO. KatrinaEdit
(image) – Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja. Kuanzia kulia ni Abdallah Saleh Fatawi (Naibu Katibu)Hija Ramadhan Choko ( Mkuu wa Kamati ya Mapambo)(image) – Leaders and members of the community of MEECO in their tour to sensitize communities on environmental preservation and conservation of mangroves in the village of Unguja South Region Unguja greatness. Starting right Fatawi Abdallah Saleh (Deputy Secretary) Ramadhan Hajj oven (General Committee of Decorative)Edit
(image) – Vijana wa MEECO talent group nao hawakombali kushiriki katika uhamasishaji wa utunzaji wa Mazingira katika mikoko katika kijiji cha Unguja ukuu(image) – Young Talent MEECO kombali group and they participate in the promotion of the observance of the mangrove environment in the village of Unguja greatnessEdit
(image) – Viongozi na wanachama wa jumuiya ya MEECO wakiwa katika ziara yao ya kuhamasisha jamii kuhusu utunzaji na uhifadhi wa mazingira ya mikoko katika kijiji cha Unguja Ukuu Mkoa wa Kusini Unguja(image) – Leaders and members of the community of MEECO in their tour to sensitize communities on environmental preservation and conservation of mangroves in the village of Unguja South Region Unguja GreatnessEdit
(image) – Wanachama wa MEECO wakiwa katika safari yao ya kwenda kuhamasisha utunzaji na uhifadhi wa mazingira katika kijiji cha Unguja Ukuu(image) – Members of MEECO in their journey to promote preservation and conservation of the environment in the village of Unguja GreatnessEdit
(image) – Moja ya vijana walioathirika kutokana na ukosefu wa elimu ya maadili ndani ya Mji wa Mwanakwerekwe. Vijana hawahawa huwa ndio waharibifu wakubwa wa mazingira hususan kwa uchimbaji wa mchanga katika mji huo na maranyigi ni vigumu sana kuwakabili kwani huwa na silaha kama mapanga,visu nk. MEECO inawakati mgumu na kazi nzito kuhakikisha suala hilo linaondika kabisa katika jamii ya Zanzibar(image) – One of the teenagers who suffer from a lack of ethics within the City of Mwanakwerekwe. These youngsters do not have the severe environmental degradation, particularly for the extraction of sand in the city and maranyigi is very difficult to approach but it is not with weapons like swords, knives etc. MEECO inawakati hard and heavy work to ensure it completely linaondika community in ZanzibarEdit
(image) – Katibu wa MEECO (shati la machungwa) akiwa mgeni rasmi katika Mkutano mkuu wa Jumuiya Rafiki ya UWEMAJO ya Jozani Mkoa wa Kusini Unguja. Suala la utunzaji wa mazingira kuhusu kuepuka ukataji ovyo wa miti ndio mada kubwa aliyoizungumzia.Kushotoni kwake ni Katibu Mtendaji wa jumuiya ya UWEMAJO Bw. Hassan Khatibu akifuatiwa na Msaidizi Katibu wa jumuiya hiyo Bw. Rajab Mchumi ( Mzee Liliondo)(image) – Secretary of MEECO (orange shirt) as a special guest at the Annual General Meeting of the Community Friend of the Jozani UWEMAJO Unguja South Region. The issue of preservation of the environment on disposal to avoid cutting of trees is the big topic was yoizungumzia.Kushotoni its Executive Secretary Mr. UWEMAJO community. Hassan Khatib, followed by Assistant Secretary of the community that Mr. Rajab Economist (Elder Liliondo)Edit
(image) – Mwenyekiti wa kitengo cha Mazingira ambaye pia ni diwani wa viti maalum akihutubia moja ya vikao tendaji vya jumuiya hiyo(image) – Chairman of the Environment Unit, who is also a councilor of the quota while addressing one of the executive sessions of the communityEdit
(image) – Uwongozi wa jumuiya ya MEECO ukishirikiana na Kamati ya ulinzi na usalama wa Shehia ya Mwanakwerekwe wakiwa Ofisini skuli ya Sekondari Mbarali katika jitihada za kutatua tatizo la uvutaji wa bangi kwa baadhi ya wanafunzi wakorofi wa skuli hiyo!!(image) – Community leadership MEECO been collaborating with the Committee's defense and security in Office Shehia of Mwanakwerekwe Mbarali secondary schools in an effort to solve the problem of smoking marijuana with some students of the school's vehement!Edit
(image) – Wanachama wa MEECO wakiwa na sheha wa Shehia ya Pangawe katika dhiara ya kuhamasisha utunzaji wa mazingira katika kijij cha Unguja ukuu Mkoa wa Kusini Unguja(image) – Members of MEECO with the storyteller's Shehia Pangawe in dhiara to encourage environmental protection in kijij greatness of Unguja South Region UngujaEdit